Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Sasa na nyie si mjitangaze nini kinawashinda sa? 😎😎😎
Sisi tunajitangaza pale kwenye pitch Shadeeya, pale kwenye kutandaza soka kama watu qanacheza draft, soka la butudani nyiiingi, soka la ubingwa, soka na kiufundi. Zile mbwembwe za sijui La Liga kwenye makaratasi wenzenu sisi kama kuiga tumeiga pale uwanjani jinsi ya kuupiga mpita mwingi saaana
 
Sisi tunajitangaza pale kwenye pitch Shadeeya, pale kwenye kutandaza soka kama watu qanacheza draft, soka la butudani nyiiingi, soka la ubingwa, soka na kiufundi. Zile mbwembwe za sijui La Liga kwenye makaratasi wenzenu sisi kama kuiga tumeiga pale uwanjani jinsi ya kuupiga mpita mwingi saaana
Hii ndio sababu mkifungwa mnadai mmelogwa. Lol.
 
Na mtabakia na mawazo hayo hayo siku zote mana ule sio mwisho wa kipigo.

Yaani tuko radhi tupoteze kote ila sio kwenu MNYERO FC. 😎
Omba tukutane FA, mbona utatamani mods wakusaidie kufuta kauli yako hii😀😀😀
 
Wachezaji wengi wameongezeka uzito sema tu ni vile tumetangaza basi mnaona kama ni wachezaji wa Yanga pekee ndio wameongezeka. Lol

Hebu waacheni wachezaji wetu. 😔
Kuna mdau humu alisema wakati ligi imesimama Chura FC ilikua inanenepesha wachezaji wake kama wale wafugaji wanavyofanya kwa mifugo iendayo mnadani, sasa sijui kuna ukweli wowote? Kwani Nugaz anasemaje?
 
Haijawahi kutokea kwangu hiyo.
Kwahiyo mwenyewe unaiamini kabisaa timu yako! Kwa ushauri wangu Shadeeya tena ushauri wa bure kabisaa, sikutozi hata kumi. Usiweke matumaini kwenye hiyo timu ilivyo kwa sasa, unajitafutia kupata pressure buree. 🤣🤣🤣
 
Kwahiyo mwenyewe unaiamini kabisaa timu yako! Kwa ushauri wangu Shadeeya tena ushauri wa bure kabisaa, sikutozi hata kumi. Usiweke matumaini kwenye hiyo timu ilivyo kwa sasa, unajitafutia kupata pressure buree. 🤣🤣🤣
Hiviii kama nikicheza na wewe nakulaza na viatu nini cha kukosa kujiamini? 😎
20200608_052717.jpg

Chukua hiyoo.
 
Back
Top Bottom