Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Tupeni matokeo ya Yanga na Azam kule Zanzibar kombe la mapinduzi
 
ukiona kimya ujue Yanga kalowa vitatu....hahaha....Azam FC 3 na Yanga 0
Daah, kwani Papic hakuwapanga wale nyota walioenda juzi kwa boti? Sasa msimamo wa kundi unaamuaje hapo?
 
nyie mnaenda lini kuchukua kapu lenu la magoli toka kwa zamaleki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…