Van pebles
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 2,861
- 5,305
Najua hapa ndio mnaona pa kujitetea kwamba mchezaji akiwa amebakisha miezi sita ana haki ya kufanya mazungumzo na klabu nyingine. Lol.
Tusubirini tuone itakuwaje Ses.
Mnalo. [emoji3][emoji3][emoji3]
Na bado. 😅Bado mna mawege ya kupata suluhu
Na bado. [emoji28]
Wacha tuonyeshane makali kidogo. [emoji23][emoji23][emoji23]
Mie ujue bado siamini hivi Morison huyu huyu ndio mnamtolea macho namna hiyo? 😂😂😂S
Chura FC inatoa mikataba ya miezi mitatu mitatu kwa wachezaji wake utadhani vibarua wa kukata miwa kwenye yale mashamba kule Turiani na Kilombero. Hawajui kwamba sheria inaruhusu mchezaji akibakiza chini ya miezi sita kwenye mkataba na timu yake ya sasa anaweza kufanya mazungumzo na klabu nyingine
Apitie wapi sasa? 😜Mwenye hela mwache apite
Mbivu na mbichi zitajulikana tu, Wazee wa kulalamika Chura FC si wanapeleka malalamiko rasmi? Tusubiri tuoneLakini alishasaini kihalali miaka miwili akiwa ndani ya hiyo miezi sita. 😎😎
Apitie wapi sasa? [emoji12]
Vuta subira ujue anakwenda wapi, pengine Ndanda FC wamepanda dau. Mpira ndio maisha yake, sasa mnamletea longolongo awatizame tu🤣🤣🤣Mie ujue bado siamini hivi Morison huyu huyu ndio mnamtolea macho namna hiyo? 😂😂😂
Kipindi tunamsajili mlimpa kila jina baya moja wapo eti mwizi. Lol Sasa mwizi na 5imba wapi na wapi?
Mie ujue bado siamini hivi Morison huyu huyu ndio mnamtolea macho namna hiyo? [emoji23][emoji23][emoji23]
Kipindi tunamsajili mlimpa kila jina baya moja wapo eti mwizi. Lol Sasa mwizi na 5imba wapi na wapi?
Hakika Mbivu na mbichi zitajulikana huko yalikopelekwa malalamiko mana ndio wana sheria.Mbivu na mbichi zitajulikana tu, Wazee wa kulalamika Chura FC si wanapeleka malalamiko rasmi? Tusubiri tuone
Ila ushauri wa bure ni kwamba ukiona mwanao hapendi kurudi nyumbani, kutwa anashinda kwa majirani na hata kula ni hukohuko, jambo la kwanza hebu jichunguze wewe mwenyewe hapo kwako kabda ya kuanza kumuadhibu mtoto au kulalamikia majirani. Pengine shida ipo kwako🤣🤣🤣
Haya ni yako shabiki wa Mnyero Fc . 😎Ila ushauri wa bure ni kwamba ukiona mwanao hapendi kurudi nyumbani, kutwa anashinda kwa majirani na hata kula ni hukohuko, jambo la kwanza hebu jichunguze wewe mwenyewe hapo kwako kabda ya kuanza kumuadhibu mtoto au kulalamikia majirani. Pengine shida ipo kwako🤣🤣🤣
Hahahaha, dah hii sijaifuatilia siijui vzr, sasa nyie yanga mmelipiza?Hahahaaa. Ni kuhusu ule mshiko wenyewe wanasema ilikuwa kishika uchumba lol [emoji3] walichompa Morison ili asaini huko kwao. [emoji3]
Vuta subira ujue anakwenda wapi, pengine Ndanda FC wamepanda dau. Mpira ndio maisha yake, sasa mnamletea longolongo awatizame tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nakumbukaga sana. Unakumbuka tulivyomnyakua yule Mbuyu Twite. 😀😀😀😀😀Unakumbuka enzi za Kikwete kwa hiyo naomba mtulie wakati mnapodugwa sindano ya N’gombe[emoji16]
Hakika Mbivu na mbichi zitajulikana huko yalikopelekwa malalamiko mana ndio wana sheria.
Nakumbukaga sana. Unakumbuka tulivyomnyakua yule Mbuyu Twite. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nadhani siku zinavyosogea ndio tutalijua hili sakata vizuri Mtani.Hahahaha, dah hii sijaifuatilia siijui vzr, sasa nyie yanga mmelipiza?
Mpaka mashabiki wao hasa Shadeeya waombe poo🤣🤣🤣Tuendelee kuwafanyia umafia mpaka watuelewe
Kweli malipo ni hapahapa🤣🤣🤣Kipindi kile mlikuwa mabosi na mlikuwa wababe sana sasa malipo ni duniani naomba mtulizane
Hahahaaa. Sawa shabiki wa Mnyero. TehVuta subira ujue anakwenda wapi, pengine Ndanda FC wamepanda dau. Mpira ndio maisha yake, sasa mnamletea longolongo awatizame tu🤣🤣🤣