Sidhani kama watakimbia Mtani.Juzi dodoma wanawafungulia tawi huko nilimsikia yule Eng anasema wanahitajika wanachama mil 1 wenye kulipa ada ya elfu 12 kwa mwaka, mtakua na bil 12 na club itakua mali ya wanachama sio imilikiwe na mtu mmoja akinuna tu hesabu imegonga mwamba
niliwah msikia pia akiongelea namna Madrid na Barcelona zinavyoendeshwa kwa mafanikio makubwa na hazimilikiwi na mtu binafsi.. jibu ni jepesi tu hawa jamaa WANAWAKIMBIA
swali langu ndio linakuja Kwann mnawaacha wawakimbie?
Ila Mikia bana yaani wanasahau haya mambo yapo na hata huko kwao wanayafanya sana.Anataka mpaka achomwe kisu cha chembe ndipo aridhike
πππUtafanya kwenye familia yao wasinywe hata maji mana atavyowaringishia watakubali tu wenyewe!
Nimemkumbuka Salamba mana alijua kuitumia vizuri lugha ya alama. πππNa pia wakageuka omba omba baada ya mchezo!
Ha ha ha akasema hapa sikubali nitatumia uwezo wangu wote Wa kuongea kwa ishara alonijaalia Muumba wangu hadi hawa wazungu wanielewe!Nimemkumbuka Salamba mana alijua kuitumia vizuri lugha ya alama. [emoji3][emoji3][emoji3]
Hahahaaa. Binamu umenikumbusha mbali hiyo ya kuyanywea chai asubuhi lol.We acha tuu.. Mchana Makande. Usiku tuna enjoyed nayo tena.Asubuhi siku inayofuata tuna hitimisha nayo.. π€²π€²Ni haramu na kosa la jinai kuyachokaππlove our parents love home..
Kumbe huwa mnanionea mimi eee? πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈNa wewe unataka tukuombe[emoji16]
Eti wanakiita kishika Uchumba lol.Kwani Mimi ni Morrison!? Ha ha ha ha
Mtani unaogopa kuombwa ha ha ha
ππππMtani wewe unapendelea kuombwa? Mimi kwa kweli hapana mana Mimi si Mungu ha ha ha!
Hebu nipishe mie [emoji2210][emoji2210]
Ila majamaa hawa yaani waliweza ule mchezo msimu mmoja tu kuja mungine waliposhituliwa wakaangukia pua. π€£π€£π€£π€£Wakipindisha sheria tunaenda Fifa na tunafufua ile kesi ya kupulizia dawa kwenye vyumba vya kubadilishia
Nawaaminia Wananchi safari hii tunawageuzia kipigo kile cha kina Jaja mana waliomba Poo Azam kwani tuliwanyuka 3 kavu.
Kesho si mbali.Unatamani iwe ivyo ila ndo haiwezekani[emoji16]
Ha ha ha akasema hapa sikubali nitatumia uwezo wangu wote Wa kuongea kwa ishara alonijaalia Muumba wangu hadi hawa wazungu wanielewe!
Kumbe huwa mnanionea mimi eee? [emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Eti wanakiita kishika Uchumba lol.
Mnyero Fc bana. [emoji3][emoji3][emoji3]
Hahahaaa. Sevilla Baba lao.Ha ha ha akasema hapa sikubali nitatumia uwezo wangu wote Wa kuongea kwa ishara alonijaalia Muumba wangu hadi hawa wazungu wanielewe!
Kesho si mbali.
Leo jiandae na sare ingine. [emoji41][emoji41]
Huo umafia umeishia TFF sasa.Tunafanya Umafia tu[emoji123]
πKesho utatoa kabisa betri sio kuzima simu tu[emoji16]