Van pebles
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 2,861
- 5,305
Tushajua unapotagetia kweendddraaaaaa. Hatuileti leo subiria kwenye kideo utaiona. πππ
Unasahau kabisa kwamba na wewe una mechi baadae au ndio ushainunua?We subiri mpate matokeo tofauti na ushindi utakoma[emoji16]
Semeni mnapumzika mkiwaza yatakayoendelea Mbeya. π
Unasahau kabisa kwamba na wewe una mechi baadae au ndio ushainunua?
Ndio mana una kelele. π€π€Kipindi icho nilikuwa sina matarajio ya kuzaliwa tulizana kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]
Nyinyi si hamtaki kuona, huyo Engineer hua hamumsikilizi? mnamuelewa? mtu anaetaka kuwekeza kwako atasema haya?Haya yote munayaona nyie upande wa pili tu. Lol
Wanakula kona na kukataa vyeo vyao walivyojitambulisha navyo. πππ
Mkataba haujaanza kutumika , unavunjwa bila malipo au kias kidogo sanaHapo kwenye termination ndipo Yanga tunapowasubiri ma don kwenye himaya yetu, ila kwa bahati mbaya madon wenyewe wanakula kona ha ha ha ha
Aaah!! Kwa hiyo Kagame unataka kumaanisha nini eti?Nyinyi si hamtaki kuona, huyo Engineer hua hamumsikilizi? mnamuelewa? mtu anaetaka kuwekeza kwako atasema haya?View attachment 1487686
Sawa.Mkataba haujaanza kutumika , unavunjwa bila malipo au kias kidogo sana
Mimi Tena? Hao wahuni wanawakimbia muda wowote, shinikizeni viongozi waangalie la kufanya msije jikuta mnarudi kule kule kwa miaka yote, ukisoma between the lines hao hawako tayari kutia mpunga, ana interview nyingine alifanya wasafi anazungumza haya, mifano yake ni B Munich, Barcelona, Madrid, club zinazo milikiwa na mashabiki , it's clearly hawana niaAaah!! Kwa hiyo Kagame unataka kumaanisha nini eti?
Ndio mana una kelele. [emoji848][emoji848]
Basi subiri Mkujuu wangu ntakuletea stori nzima na namna tulivyowanusuru kushuka daraja. ππ
Nilimuelewaga sana Mtani Penison mana kuna siku alisema Ligi ingekuwa inakwenda kihalali basi kwa sasa mngekuwa na points hamsini na kitu. π
Yanga itabaki kuwa juu mawinguni
Oooh!! Nilijua tu mwisho wako ni huo Mtani.πMimi Tena? Hao wahuni wanawakimbia muda wowote, shinikizeni viongozi waangalie la kufanya msije jikuta mnarudi kule kule kwa miaka yote, ukisoma between the lines hao hawako tayari kutia mpunga, ana interview nyingine alifanya wasafi anazungumza haya, mifano yake ni B Munich, Barcelona, Madrid, club zinazo milikiwa na mashabiki , it's clearly hawana nia
Kwakua viongozi wengi wa kiafrika hawawez fikiri mbali zaid ya urefu wa pua zao , hawaoni hili
Hebu muache mwananchi Mwenzangu huko.We nenda jukwaa la mapishi huku hapakufai[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mo hatakiwi ingiza 20B , ila anatakiwa anunue amana za serikal zenye dhamani hiyo , faida itakayokua inapatikana ndio inatakiwa ije kwenye clubOooh!! Nilijua tu mwisho wako ni huo Mtani.π
Niseme tu haya ya Yanga tuachieni Yanga nyie mnaoona mbali kapazeni sauti Mo aingize ile 20B na sio maneno matupu.