Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Azam fc tunawapenda sana lakini kwa hapa mlipofika mtatusamehe tu,Tunawahitaji hawa jamaa sana
Najua wajua namna hizi mechi huwa zinakuwa Mtani.

Sisi tunakuhitaji zaidi. 😂😂😂
 
A aah inachosha sana kwakweli lazima benchi la ufundi lijitafakari
Kabisa. Kuna saa natamani Ligi na haya makombe yangekuwa yameishafika mwisho tuone wanajipanga vipi kwa next season mana ndio ninachokitamani sasa na sio presha presha hizi.
 
20200701_101954.jpg
 
Back
Top Bottom