Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Refa hajaipendelea Yanga,ila marefa wetu hawajui maana dakika za mwanzo alitunyima penati ya wazi kabisa baada ya Feisal Salum kuangushwaAah!! Mtani refa naye ni binadamu ujue. π
A aah inachosha sana kwakweli lazima benchi la ufundi lijitafakariJapo nashindwa kuelewa ni mfumo ambao kocha anautumia ndo tatizo au tu ni ile mizigo mule ndani. πππ
Tatizo viongozi wetu wazito sana kutoa ufafanuzi. Jambo linatokea wanasubiri hadi watu walalamike na kupanda jazba ndipo wanatoka wanachukua hatua au kutoa ufafanuzi
Daah!! Yaani inasikitisha aisee.Mkuu timu yetu haina muunganiko kabisa iko hovyo sana,yaani unaangalia mechi Kagera wako pungufu Ila bado possession ipo kwao,inasikitisha sana
Yetu imezidi Mtani.Baada ya mapumziko ya corona timu nyingi zinaonekana kuchoka, hata ukiangalia ligi za majuu utaona utofauti.
Wachezaji walipumzika na hawakuwa wakifanya mazoezi kwa usahihi.
Hakika. Huu ni ukweli ulioko wazi.Yetu iko hoi kabisa
Nilikuwa busy jana Mtani sikuipata hii kulikoni?Mkuu huyu Morison aliyafanya Jana usiku pale Regency hotel acha tu
Apande tu ndege aende huko SA
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh!! π€π€Hahahaha, kazingua alitoka camp usiku ,walinzi wakamzuia akalianzisha
Mbn usiku wa Jana, Regency palikua na kikao na huyo dogo
Sent using Jamii Forums mobile app
ππAna mkataba na Yanga wa miaka 2,wakati anasaini huo akuijua thamani yake,na ukorofi ndio tabia yake ndio maana hajawahi kukaa japo misimu miwili kwenye klabu yyt nje ya ghana,ila sasa hivi kakiingia cha kike,Yanga atumuachi hivi hivi,View attachment 1493862
Najua wajua namna hizi mechi huwa zinakuwa Mtani.Azam fc tunawapenda sana lakini kwa hapa mlipofika mtatusamehe tu,Tunawahitaji hawa jamaa sana
Ulibet πHahahaaa. Wajua jana nilivyokuwa busy kwa Muhindi.
Amiin amiiin amiiin.Simba vs Yanga Mungu Baba tusaidie tukutane tena kelele zimezidi mitaani.
Dogo mnazi kindaki ndakiKaka nilijuta kutoa buku 5 yangu yaani kiti hakikaliki kwa mahovyo hovyo ya pale Uwanjani.
Kuna saa yule Muhilu ni kama alitufumbia macho pale alipobaki na Metacha.
Swahiba kibaruani huko. πUlibet π
Kwa ile nimekubali.Dogo mnazi kindaki ndaki
Ok,mdosi alikukeep busy kumbeSwahiba kibaruani huko. π
Hamna kitu wameonyesha jana wachezaji.Daaah jana nipo jukwaani,mtu umeenda kufurahi ila umechoooka kabisa
Ndio Swahiba. πOk,mdosi alikukeep busy kumbe
Kabisa. Kuna saa natamani Ligi na haya makombe yangekuwa yameishafika mwisho tuone wanajipanga vipi kwa next season mana ndio ninachokitamani sasa na sio presha presha hizi.A aah inachosha sana kwakweli lazima benchi la ufundi lijitafakari