Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Watu wanapita humu tu kuchungulia na wanaondoka bila kuongea chochote au hakuna mtu anayejua matokeo nn.....
 
Watu wanapita humu tu kuchungulia na wanaondoka bila kuongea chochote au hakuna mtu anayejua matokeo nn.....au ndo kujifanya hamjui kinacho endelea hata kama ni mabaya nyie yabandikeni 2 tuyaone c ndo hal ya mchezo bana
 
Au game co leo nin maana wengine 2po mbal so hata kama kuna changes hatuwez jua chochote...
 
FUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUULLLLL TIME
Yanga 1 - 0 Ruvu Shooting
Mabingwa warudi kileleni . . . . .
Happy Birthday Mabingwa wa Tanzania na East Afrika
Bao la Mwape dk ya 46
 
FUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUULLLLL TIME
Yanga 1 - 0 Ruvu Shooting
Mabingwa warudi kileleni . . . . .
Happy Birthday Mabingwa wa Tanzania na East Afrika
Bao la Mwape dk ya 46

bro thanks 4 the result but jitahidin kuwa mnatupa updates kwa mda muafaka il kuepusha presha ambazo hazina maana ukizingatia madaktari nao bado hawajaeleweka vizuri maana unaweza ukashangaa wanagoma tena(jokes)
 
FUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUULLLLL TIME
Yanga 1 - 0 Ruvu Shooting
Mabingwa warudi kileleni . . . . .
Happy Birthday Mabingwa wa Tanzania na East Afrika
Bao la Mwape dk ya 46
sasa kwanini mlikuwa mnatetemeka kutoa matokeo
 
FUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUULLLLL TIME
Yanga 1 - 0 Ruvu Shooting
Mabingwa warudi kileleni . . . . .
Happy Birthday Mabingwa wa Tanzania na East Afrika
Bao la Mwape dk ya 46
Kwa matokeo haya ya 1-0 kurudi kileleni ni ndoto; kwa style mliochukulia ubingwa msimu uliopita SIMBA inaendelea kuwa kileleni.
 
Kwa matokeo haya ya 1-0 kurudi kileleni ni ndoto; kwa style mliochukulia ubingwa msimu uliopita SIMBA inaendelea kuwa kileleni.
Yanga tayari wamerudi kileleni(kwa head to jead ya magoli ya kufunga).....
 
mpira hawana hataivyo hawa.
Kiukweli timu zote Yanga na Simba hazina mpira,jana nilikuwa uwanjani nimewaona Simba wakicheza na Azam......Azam walitawala sana mpira na Simba walizidiwa but walizitumia vizuri nafasi mbili walizopata kwa Okwi kufunga magoli......Azam wanacheza soka ya kuvutia hasa kuliko Yanga na Simba...
 
Hongereni sna wana Yanga wezangu kwa ushindi huu wa leo......

Leo nilikwa uwanjani na nimeshuhudia timu yetu ikiibuka na ushindi licha ya Hamis Kiiza kukosa penati....

Pamoja na ushindi nina machache ya kuongea.....Kwa kweli timu yetu ni mbovu sana, mpira wetu ni mbovu sijapata kuona.....Wachezaji wetu wanacheza hovyo hovyo,hawana stamina,wanaanguka hovyo uwanjani....Hapa namkumbuka mtaalamu Sam Timbe...Huyu alikuwa akiwapa wachezaji mazoezi ya nguvu kwa ajili ya kuwajenga kistamina kiasi cha kuchukwa na wachezaji,Timbe alikuwa mkali sana kwa wachezaji ukilinganisha na Kostadin Papic...Papic anapendwa na wachezaji kwa sababu tu anawalea na hawapi mazoezi ya nguvu, hili ni kosa kubwa sana.....

Kwa kiwango nilichokiona leo nachelea kusema kwamba Yanga hatujawiva kabisa kucheza na Zamalek,timu yetu haipo vizuri kimbinu,kistamina(kimwili) na kisaikolojia......Yanga hatuna washmbuliaji wazuri wa kumalizia,hawa Mwape na Asamoah ni magarasa,ni bure kabisa....Sijui ni kwa nini kocha anawaacha benchi Pius Kisambale,Shamte Ally na Jerry Tegete, hawa ni wazuri sana kuliko hata hao Mwape na Asamoah......Yanga bado tuna tatizo la beki wa kati wa kusaidiana na Nadir pamoja na beki wa kulia......Chuji bado mzito sana na nina wasiwasi sana katika mechi na Zamalek,anaweza kuwa uchochoro...Kwenye kiungo tupo vizuri hasa kwa Haruna Niyonzima,Juma Seif Kijiko na Nurudin Bakari(naomba apone haraka ili cheze mechi na Zmalek)......Hamis Kiiza ni mzuri sana ukilinganisha na Mwape na Asamoah.....Kwa magolikipa naona Kado karudi kwenye fomu yake maana leo kaokoa magoli matatu ya wazi kabisa.......

Tuombe Mungu Zamalek wasitufunge mengi hiyo jumamosi.......

Yanga: Daima mbele,Nyuma mwiko...
 

asante kwa kulitambua hilo mkuu batalanda BTW hongera na happy birthday..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…