kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,305
- 6,341
Hivi yanga kwa ninj wasimrudishe huyu dogo? Mana anaipenda timu na kiwango chake si habaKaka nilijuta kutoa buku 5 yangu yaani kiti hakikaliki kwa mahovyo hovyo ya pale Uwanjani.
Kuna saa yule Muhilu ni kama alitufumbia macho pale alipobaki na Metacha.