Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Kaka nilijuta kutoa buku 5 yangu yaani kiti hakikaliki kwa mahovyo hovyo ya pale Uwanjani.

Kuna saa yule Muhilu ni kama alitufumbia macho pale alipobaki na Metacha.
Hivi yanga kwa ninj wasimrudishe huyu dogo? Mana anaipenda timu na kiwango chake si haba
 
De Mkunungu anzeni kutafuta waganga mapema tarehe 12 si mbali msije mkalaumiana.

Shomary Lawi fc
 
Vipi mkuu kiwewe kimeanza!?
 
Kweli Utopolo fc ndo mana mnaitwa Vyura fc, Yani mchezaji ambaye ametoka kuwapanda kichwani afu anakuja mazoezi mnasema muongeze sauti wakati kuna wachezaji ambao hata hawajalipwa lakini wanaendelea kuipambania timu hamjawahi kuwaposta kuwa sifia.
Endeleeni kuongeza sauti sisi Mabingwa tuna ongeza sauti za kuchukua zawadi za ubingwa, tumeanza Jana kwa sport pesa tunafuata tareh 8 kule Lindi
 
Balaa linakuja Utopolo de Mkunungu muwe tayari.
 

Attachments

  • 69484448_2323930777855739_1367182059906269184_n.jpg
    14.2 KB · Views: 1
Hahahahaaa. Yaani nyie ndio mnatambaga mna soka la kutisha lakini ndio mnachachawa mbaya Mtani.

Na nyie tafuteni wachawi ili twende sawa. Teh teh. 😂😂😂
 
Kama kawaida mazoezi yaliendelea jana kwa timu ya Wananchi kujiwinda dhidi ya Biashara United.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…