Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Embu kawasaidie wenzako kutafuta wachawi siku zinaisha ujue,😀
Halafu nakushauri siku hiyo usiende uwanjani bado tunakupenda.😬
Tena kama kule kwetu vigaga wapo kibao ngoja nitafute contacts zao kisha niwape wakawatafute 😀😀😀 (jokes)

Hahahaa!! Daah!! Mtani ujue sina historia ya kuangalia mechi ya Simba na Yanga nyumbani.
 
Hahahahaa. Wanatafuta visingizio.​

Mechi tushaimaliza hii Kaka. 😀😀 Mwisho wa siku tunawaachia maswali wajiulize kwa nini wamekuwa mdebwedo kwa Timu ya Wananchi.​
Safari hii uchawi hautamisaidia kitu.

Simba nguvu moja
 
Tena kama kule kwetu vigaga wapo kibao ngoja nitafute contacts zao kisha niwape wakawatafute 😀😀😀 (jokes)

Hahahaa!! Daah!! Mtani ujue sina historia ya kuangalia mechi ya Simba na Yanga nyumbani.
Utakuwa unewasaidia sana😜

Sawa nenda lakini hakikisha unarudi kwa miguu yako mwenyewe usiwape watu kazi ya kukubeba. Maana siku hiyo itakuwa zaidi ya Horror Show.
 
Ila nimependa angalau sasa hivi tunajitahidi kwenye kutafuta pesa hasa baada ya kufungua banda letu kule 7 7.

Kwani nimeona watakuwepo wataalamu wa kuwaelekeza mashabiki wetu namna ya kuitumia App ambapo wakiungwa watu kwa wingi hapo ni lazima pesa itaingia kwa klabu.
 
Utakuwa unewasaidia sana😜

Sawa nenda lakini hakikisha unarudi kwa miguu yako mwenyewe usiwape watu kazi ya kukubeba. Maana siku hiyo itakuwa zaidi ya Horror Show.
Letis weit endi sii Mtani.

Japo naamini mtabebwa sana siku hiyo kwani wengi mtazzzzimika.
 
Utopolo wanatamani siku zisiende lakini ndio hivyo tena maji ukiyavulia nguo.

Simba nguvu moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…