Na ndio tumeshawashusha Daraja hao ndugu zenu.
Mmmh. π€π€Kocha mkuu wa klabu ya Yanga,
Luc Aymael amesema mashabiki wa Yanga ni wajinga pia amesema kuwa uongozi wa klabu ya Yanga ni Waswahili wameshindwa kumtimizia matakwa yake ya ki mkataba.
Kocha huyo amesema amechoka kukaa Tanzania hana DStv,hana Gari ,Yanga walimpangishia nyumba mbaya. Amedai bora tu wamuache aondoke zake na kwa mwendo huu Aymael amesema Yanga haiwezi kushinda chochote.
Pia ameshangazwa na mashabiki wa Yanga kutojua mambo ya mpira amedai ni kama Mambumbumbu tu yanapiga Makelele na kuzomea zomea kama Nyoni na yanabweka bweka kama Mbwa.
Shadeeya
Khaaaaa!!!Napita kusalimia tu
nimemsikia bwana mmoja akilalamika..eti nyie ni manyani? hamjui kitu mnabekwa kama mbwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sisi wazima kabisa. Hofu kwako Kagame?Napita kusalimia tu
nimemsikia bwana mmoja akilalamika..eti nyie ni manyani? hamjui kitu mnabekwa kama mbwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utopolo mwaka wao aisee kila siku viojaKocha mkuu wa klabu ya Yanga,
Luc Aymael amesema mashabiki wa Yanga ni wajinga pia amesema kuwa uongozi wa klabu ya Yanga ni Waswahili wameshindwa kumtimizia matakwa yake ya ki mkataba.
Kocha huyo amesema amechoka kukaa Tanzania hana DStv,hana Gari ,Yanga walimpangishia nyumba mbaya. Amedai bora tu wamuache aondoke zake na kwa mwendo huu Aymael amesema Yanga haiwezi kushinda chochote.
Pia ameshangazwa na mashabiki wa Yanga kutojua mambo ya mpira amedai ni kama Mambumbumbu tu yanapiga Makelele na kuzomea zomea kama Nyoni na yanabweka bweka kama Mbwa.
Shadeeya
Luc Eymael afurushwa kazi Yanga
Kaongea utumbo mwingi
Ila Kaongea point moja ya msingi, TFF ipo kwa ajili ya Mikia
Alikuja kwa mbwembweKocha ametimuliwaView attachment 1518177
Hahahaaaa. Alikuwa anatafuta sababu huyo Mtani.Kasema pia washabiki wa Yanga hawajasoma, hawajui mpira. Wanachojua ni kuruka ruka tu kama manyani.
cc Shadeeya
Wacha kuteseka we Mikia.πAlikuja kwa mbwembwe View attachment 1518204
Aende tu shem watakuja wengine.Aondoke zake bwege huyu.
Hahahaaaa. Alikuwa anatafuta sababu huyo Mtani.
Akwende zake huko kwa hiyo usomi wetu tumuonyeshe yeye wa kazi gani. Teh teh.
Ye kaja kufanya kazi hayo ya kuruka ruka atuachie wenyewe. Teh.
#Irushepo basi hiyo audio tujisikie. π
Duuh!! Wacha nikaperuzi peruzi mitandaoni natumai nitaipata.Audio nimeipata kupitia WhatsApp, nashindwa jinsi ya kui attach hapa.
Siioni hata kwenye downloads.
Audio nimeipata kupitia WhatsApp, nashindwa jinsi ya kui attach hapa.
Siioni hata kwenye downloads.
Duuh!! Wacha nikaperuzi peruzi mitandaoni natumai nitaipata.
Ila Mtani kama katukashifu namna hiyo hapaswi kuendelea kuwepo aiseee sababu yeye anamapungufu mbona hatujawahi yapigia kelele.