Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Mikia bana. Sasa humo kwa Mashabiki wa timu ya Wananchi si kuna hadi watu wenu wa karibu? [emoji15][emoji15]

Acheni kuisapoti ngozi nyeupe nyieee. Hivyo mnafurahia mzungu akituita masokwe. lol.
Aaaah jamani mpaka nimekuonea huruma dah.....


Siwezi kumsapoti mzungu, cha kusikitisha kuna washabiki wa utopolo wanamtetea kocha wao, ndio kinachonipa jeuri kuamini aliyoyasema dada Lucy.















Umbwa fc[emoji23]
 
Kufungwa afungwe lipuli fc na kushuka daraja, sare aipate azam na kuwa nafasi ya tatu, lakini povu kama lote kwa simba sc na mashabiki wao. Mpira una mambo mengi
 
Kocha analalamika hata dstv ya elf 79 mmeshindwa kumunulia

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Tuna mkataba na azam tv, tunatumia za mkataba, yeye analiwa si chini ya milioni 10, kwa nini asinunue? 79K ndo ya kukupigisha kelele? Azam zinaoneshwa mechi za laliga zote bila kuacha hata moja, na hao tuna mkataba bao, tunataka soka lao siyo la mahali pengine
 
Sasa kama GSM walimwambia kocha watamnunulia kila kitu.kwanini kocha asisubiri dstv ya bure?.
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Nasimama nyuma yako kukazia
 
Aaaah jamani mpaka nimekuonea huruma dah.....


Siwezi kumsapoti mzungu, cha kusikitisha kuna washabiki wa utopolo wanamtetea kocha wao, ndio kinachonipa jeuri kuamini aliyoyasema dada Lucy.















Umbwa fc[emoji23]
Huruma hiyo veeepeee?

Sema nyie Mbumbumbu ndio mnaomsapoti usitake kujificha kwenye kivuli cha Wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…