Siyo kosa lao hawa Akili zao zimetawanyika sana, zikija kujikusanya wakatafakari na kuelewa watamaindi sana!
Na ukishajiona we ni mtu mweusi halafu unafurahia mwenzio kuitwa nyani inabidi kujiangalia vizuri kwani si ajabu kuna nati imelegea kichwani na inahitaji kukazwa. Teh teh.
[emoji205]FcHalafu huku mbumbumbu wanavhekelea kichizi
Duu hadi uchebe! Yule ndio kabsaaa!Hivi huwa najiwazia inamaana hakuna makocha wapya ambao wanaeza ifundisha Yanga mpaka wale ambao walishashindwa wakasepa.
Nini maana ya hii kitu jamani mana naona kila sehemu anazungumziwa Lwandamina, Van Pluijm, yule aliyeshindwana na simba Kidevu kwamba mmoja wao anaweza kuja Yanga imekaaje hii? [emoji848][emoji848]
Ni kwamba
- Tumewazowea
- Wako Cheap kuwapata
-Wanaipenda Tz ama aje?
Ha ha ha haInashangaza. Wanatakiwa viongozi watuletee benchi jipya la ufundi. Na ili tufanikiwe,Mkwasa asiwe sehemu ya ufundi
Florent Ibenge Wa AS Vita ni mwalimu mzuri sana shida yake hakawii kumleta zahera kama msaidizi wake mana ni maswahiba sanaSinaga Experience na hizo mambo za makocha Mkuu lakini kwa hawa ambao baadhi tulishashindwana nao kwangu naona hawako sahihi sababu mwisho wa siku wataleta mauza uza kama yale waliyokuja nayo mwanzo na huo ndio utakuwa mwanzo wa kuanza kulaumiana tu na Yanga kubakia pale pale siku zote.
Au we unadhania watakuja na jipya gani?
Kwa kweli kwa huyu pimbi tuliingia chaka. Mchezaji gani professional ana tabia kama wale wazamiaji wa bondeni miaka ya 90!View attachment 1521721Bernard Morisson Shadeeya
[emoji205]
Ndiyo 🤣🤣Hahaaa aisee hapo alipo ana 22?
😁😁
Kimemkuta nini tena jamani? 🤔View attachment 1521721Bernard Morisson Shadeeya
Duuh.Shadeeya nadhani na huyu amfuate LucView attachment 1521753
Mnavyojua kutufuatilia tu Mtani. Kazi mnayo.BREAKING NEWS:
Uongozi wa Club ya Yanga unapenda kuwataharifu mashabiki na wapenzi wa Club hiyo kwamba mchezaji fundi wa Club hiyo Yikpe Gnamien ataendelea kuwepo klabuni hapo hadi mwisho wa dahari.
Wape Salaaaam
Hahahaaa. Huyo kazi anayo Mtani.Huyu juzi kacheza ndondo msasani