HahaaaaUnajikaza tu kunywa na panadol
Unapenda sana kuongea peke yako Mtani. πππππTunajua kuwa matokeo ya Sumbawanga mnayo ila tu hampendi show off.
Simba nguvu moja
Wenye wivu wamesemaje eti?Waziri Junior from Mbao,so far hii best signingView attachment 1525155Shadeeya huyu tumelamba dume
Mi saa ingine nashangaa hivi hawa wanaopiga kelele walitaka kikosi chetu chenye magarasa kibao tuendelee nacho ama?Waziri Junior from Mbao,so far hii best signingView attachment 1525155Shadeeya huyu tumelamba dume
Mtani mateseka sana mwaka huu. πππTimu inasajili wachezaji bila kocha hahahahahahahahah
Imebidi Mtani sababu kikosi kilichokuwepo ulikuwa unakiona kilivyo tia maji tia maji.Hahahaha, wana speed ya kusajiri hao
Mbali na age yake kuenda lakini alikuwa anatusaidia sana aiseee.Binafsi nimeumia kuachwa Ngasa
Ukiona unafanya jambo lako zuri alafu kelele nyingi kukuponda ujue wanakuogopa. Simba wanaogopa sana YANGA tukifanya usajili sababu wanajua lazima tuwachachafye msimu ujaoMi saa ingine nashangaa hivi hawa wanaopiga kelele walitaka kikosi chetu chenye magarasa kibao tuendelee nacho ama?
Na kweli Mkuu ni woga tu unawasumbua sababu kikosi chetu cha season ya 2019/2020 hakikuwa na afya kabisa yaani licha ya kusajili watu nyomi.Ukiona unafanya jambo lako zuri alafu kelele nyingi kukuponda ujue wanakuogopa. Simba wanaogopa sana YANGA tukifanya usajili sababu wanajua lazima tuwachachafye msimu ujao
Huu utopolo sijawahi kuuona duniani yaani timu kila msimu inasajili wachezaji 15[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya wale makocha mje sasa. Tah teh.
Pambana na hali yako weweeee πHuu utopolo sijawahi kuuona duniani yaani timu kila msimu inasajili wachezaji 15[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alafu kocha ndio anafuta, kisha anawaita mbwa na sokwe wananuna[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio hofu yangu hiyo mtani ,ingawa kuna majina mmeenda vzrImebidi Mtani sababu kikosi kilichokuwepo ulikuwa unakiona kilivyo tia maji tia maji.
Japo naombea tu yasije kuwa yale ya mwaka jana yaani tulisajili wachezaji kibao mwisho wa siku yote yakawa magarasa.
Karibu Kigali, Karibu Gahinga ,Karibu Gikondo , urakoze
Napenda nitoe shukrani zangu za dhati kwa viongozi, wachezaji, wapenzi na wanachama wa Yanga SC kwa ushirikiano wote mlionipa kwa kipindi chote nilichoitumikia klabu yangu ya Yanga, nasikitika kuwajulisha kuwa sitokuwa sehemu ya kikosi cha Yanga SC msimu ujao, kilikuwa kipindi kizuri kwangu kuwa hapa na daima ntabaki na kumbukumbu nzuri . Nawatakia mafanikio mema.
Patrick Sibomana.
Wanaumia tu mdogo mdogoWenye wivu wamesemaje eti?
Ndiyo hapo sasa,mwanayanga hawezi chukia Yikpe kuondoka wala MolingaMi saa ingine nashangaa hivi hawa wanaopiga kelele walitaka kikosi chetu chenye magarasa kibao tuendelee nacho ama?
Saa ingine hamna jinsi. Ila tusubiri tuone japo wanasemaga si kila siku mtu utakosea.Ndio hofu yangu hiyo mtani ,ingawa kuna majina mmeenda vzr
πππ Maeneo ya kwao Rwanda nini hayo Mtani?Karibu Kigali, Karibu Gahinga ,Karibu Gikondo , urakoze