Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

MAGAZETI YA LEO 😎😎
20200802_080630.jpg
 
Wamezage tu wembe wale wasiopenda.

Japo najisemea kabla hatujaendelea ingependeza tukampata kocha kwanza. Sababu ninahakika haya yalikuwa mapendekezo ya Luc Emayel.
Kwasasa hivi inabidi iwe hivyo tuu. Kwani kocha akija hata sasa hivi hataweza kufatilia mchezaji yeyote. Ligi imekwesha
 
MBUMBUMBU wanatoa povu tu huko. [emoji23][emoji23][emoji23]
manyani wanashangilia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], wengine wanabweka kama ubwa...mbelijiji mbelijiji [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom