Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Yani nyie mikia kuchukua tu makombe yote matatu basi ndio mnaona kama mmechukua world cup, yani mshakua wataalamu wa mpira tayari, wachambuzi nyie, makocha nyie, wakosoaji nyie yaani kila kitu nyie.
Acheni ushamba tuacheni na timu yetu.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wamekuwa kama zile funguo za wezi. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hahahaha, naujua mpira kuliko unavyodhani kuanzia kuucheza,mpk sasa fitina

Mtani nataka kuwa wakala, Mungu akipenda inshalaah
Safi sana Mtani.

Nasikia uwakala ni big deal mno ila ndio upate mchezaji wa mana sio kina Yikpe. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…