Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Yani nyie mikia kuchukua tu makombe yote matatu basi ndio mnaona kama mmechukua world cup, yani mshakua wataalamu wa mpira tayari, wachambuzi nyie, makocha nyie, wakosoaji nyie yaani kila kitu nyie.
Acheni ushamba tuacheni na timu yetu.
😂😂😂 wamekuwa kama zile funguo za wezi. 😂😂😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23] wamekuwa kama zile funguo za wezi. [emoji23][emoji23][emoji23]
Yuko mjini, kafichwa ,Kazi ipoView attachment 1527503
IMG_20200805_064315.jpg
 
Hahahaha, naujua mpira kuliko unavyodhani kuanzia kuucheza,mpk sasa fitina

Mtani nataka kuwa wakala, Mungu akipenda inshalaah
Safi sana Mtani.

Nasikia uwakala ni big deal mno ila ndio upate mchezaji wa mana sio kina Yikpe. 😂😂😂
 
Back
Top Bottom