Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Kila siku nasema humu watanzania mpira hamjui,mnakurupukia wachezaji sanaNa nikasema huyu jamaa kajua kucheza na akili za wa Tz mana nimesikia sehemu eti anajitapa kwamba anaeza saini Yanga, Simba na Azam halafu akifungiwa anarudi kwao Ghana kula Maisha.
Hivyo si ajabu hawa pia wameingizwa chaka huku akijua dhahiri ana mkataba halali Yanga.
Sijajua Mtani mana baada ya kuja na wiki ya Wananchi basi tumewazima kabisa. 😀Hahahaha,hivi Simba day hkn siku hz eeh
Saasaa ulitegemea Ngasa acheze Yanga mpaka lini?Wala haiitaji kua na Phd kujua kua dogo anachemka. Hata mjomba Ngasa alionywa sana aachane na Chura FC akaendeleze kipaji chake na kujikusanyia dolari za Trump kule El Mereikh Sudan, Yanga wakamlaghai na "mapenzi ya club". Matokeo yake ndio kama hivyo tena, jua limemchwea, atatafuta timu ya mchangani
Ujue bana hizi mambo bana hivyo na wewe umeamini anachokisema huyo Morison. Lol
Yaani watu waghushi saini ili kiwe nini?
Umemwona mbona wapo wengi wa simba na yanga!Wala haiitaji kua na Phd kujua kua dogo anachemka. Hata mjomba Ngasa alionywa sana aachane na Chura FC akaendeleze kipaji chake na kujikusanyia dolari za Trump kule El Mereikh Sudan, Yanga wakamlaghai na "mapenzi ya club". Matokeo yake ndio kama hivyo tena, jua limemchwea, atatafuta timu ya mchangani
Tangu lini anayeiga akamzidi aliyeanzisha?🤣Sijajua Mtani mana baada ya kuja na wiki ya Wananchi basi tumewazima kabisa. 😀
Hashindwi yule jamaa.Hahahaha kuna siku nilikua na mchambuzi mmoja wa wasafi sehemu tunayajenga ,aliliongelea hii kitu
Hahahaa. Nyie wenye saini halali si mngemtambulisha jana kama ilivyovuma cha ajabu mpo kimyaaaaaa.
Amakweli ukitaka kumuua nyani usimuangalie usoni. Kama sio nyoe vile mliomficha El Mereikh wasiondoke naeSaasaa ulitegemea Ngasa acheze Yanga mpaka lini?
Na pia kwa hali iliyokuwepo Yanga ilibidi tufumbe macho kumuondoa ili kukisuka kikosi chetu upya.
Baelezeee, baambie baeleweeSimba hatukurupuki. Ile timu inaendeshwa KISOMI. ndo maana sasa hivi hauwezi kuiona simba ikiingia kwenye migogoro na wachezaji
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Tulishayajua haya siku nyingi hivyo wala hamtustui na kauli zenu.Wapi mjomba Ngasaaa🤣🤣🤣
Hahahaha km alivyofanya RDC na SAHashindwi yule jamaa.
Yanga Daima Mbele Nyuma.................🤣Tulishayajua haya siku nyingi hivyo wala hamtustui na kauli zenu m
Japo nimesikia ka huyu Morison hana agent eti? Au si kweli?Kila siku nasema humu watanzania mpira hamjui,mnakurupukia wachezaji sana
Na sasa agents washajua bongo wababaikaji ,watawapiga Sana hela
HahahahaSijajua Mtani mana baada ya kuja na wiki ya Wananchi basi tumewazima kabisa. [emoji3]
Huyo ni Free player agent yy mwenyewe na meneja yeyeJapo nimesikia ka huyu Morison hana agent eti? Au si kweli?
Hivi akili ya yule jamaa unaijua lakini?Sasa ukweli upo wapi?.
Inakuwaje mchezaji unayemlipa mshahara na ukamsainisha miaka 2.yeye aje atangaze amesaini miezi 6.
Hamuoni kamaa hapo kuna UDANGANYIFU umetokea?..
Na ndo maana nasema GSM NI MATAPELI. mpaka pale watakapotoa ukweli kuwa ni nani muongo kati yao na Morrison
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Nadhani uongo wa GSM na Yanga utaumbuliwa na TFFSasa ukweli upo wapi?.
Inakuwaje mchezaji unayemlipa mshahara na ukamsainisha miaka 2.yeye aje atangaze amesaini miezi 6.
Hamuoni kamaa hapo kuna UDANGANYIFU umetokea?..
Na ndo maana nasema GSM NI MATAPELI. mpaka pale watakapotoa ukweli kuwa ni nani muongo kati yao na Morrison
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Yule anayeiga ndio anakuwaga ameongeza na maboresho na ndio sababu sisi hatujaiita Yanga Day bali ni Wiki ya Wananchi ambapo ndani ya hiyo wiki tunafanya mambo mengi mnoo na si Uwanjani pekee.Tangu lini anayeiga akamzidi aliyeanzisha?🤣
Ila mimi kwenye Yanga Day nafuatikiaga ile kaulimbiu yenu tu, basi. Hebu irudie hapa Shadeeya🤪
Hivi akili ya yule jamaa unaijua lakini?