Hebu tupumzisheni mana mwisho wa siku mnataka Yanga iwe kama timu iliyopanda Daraja.Kesha saa nane kuna kwenzi jingine..Mara paap Fei Toto [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilimsikiliza mtu alie muunganishia Ngassa dili la kipindi kile kwenda Sudani, Yanga wakamficha Ngasa wakamlisha sumu hata walipo kuja mwachia jamaa akajitahidi kumweleza Ngassa ukubwa wa pesa ambayo angepata 1.6bil kwa miaka 4, Ngasa akatolea nje kwasasabu tu jamaa alikua anapewa na wasudani mil 18 deal ikiwa tayari, akamwambia jamaa atafute pesa kwa nguvu zake asimtegemee yeyeMorrisio sio RAIA wa TZ hivyo si mwananchi, yeye alikuja kutafuta pesa sio blah blah za gongowazi.suala la upenzi wa timu bila pesa mpelekeeni mrisho Γ±gasa
Ni kweli si uongo lakini kama mie nataka niwe busy na mengine mana kama jana moyo wangu ulijua kufyatuka bana. ππππHili limeisha kwako tu mtani ila trust me huyu jamaaa mpaka sasa anasumbuwa vichwa vya GSM, uongozi wa yanga mpaka mashabiki
Itachukua mda kidogo kuisahau
Soma hapo.."Najumatatu tena" [emoji23][emoji23]Hebu tupumzisheni mana mwisho wa siku mnataka Yanga iwe kama timu iliyopanda Daraja.
#Feisal hana akili za Kimorison.
Huku atatulia tu kama walivyotulia watukutu wenzake kina mkude.Hahahaaaa. Haina shida Mtani.
Lakini lait mngejua mlivyomdharau huyu jamaa halafu eti leo hii mnampamba ama kweli binadamu tumeumbwa kusahau.
Msitutishe.Soma hapo.."Najumatatu tena" [emoji23][emoji23]View attachment 1531731
Muacheni Ngasa wa watu hiyo ndo aina aliyoichagua kuchanga karata zake jamani. LolNilimsikiliza mtu alie muunganishia Ngassa dili la kipindi kile kwenda Sudani, Yanga wakamficha Ngasa wakamlisha sumu hata walipo kuja mwachia jamaa akajitahidi kumweleza Ngassa ukubwa wa pesa ambayo angepata 1.6bil kwa miaka 4, Ngasa akatolea nje kwasasabu tu jamaa alikua anapewa na wasudani mil 18 deal ikiwa tayari, akamwambia jamaa atafute pesa kwa nguvu zake asimtegemee yeye
Hadi kuwekeza kwenye dhamana za serikal alipewa hesabu hyo, angechukua dolla lak 2 akatia , leo hii angekua na mil 11 kwa mwez... sijui jangwan walimloga, kakosa dili ya maisha
Dogo ilibidi atusue mapema kuliko hata mbwana samatta; sema siasa za mpira wa yanga wa kuzuia wachezaji kutoka ndizo zilizomfikasha apo na Mbaya zaidi kwa sasa timu haithamini wachezaji waandamiziNilimsikiliza mtu alie muunganishia Ngassa dili la kipindi kile kwenda Sudani, Yanga wakamficha Ngasa wakamlisha sumu hata walipo kuja mwachia jamaa akajitahidi kumweleza Ngassa ukubwa wa pesa ambayo angepata 1.6bil kwa miaka 4, Ngasa akatolea nje kwasasabu tu jamaa alikua anapewa na wasudani mil 18 deal ikiwa tayari, akamwambia jamaa atafute pesa kwa nguvu zake asimtegemee yeye
Hadi kuwekeza kwenye dhamana za serikal alipewa hesabu hyo, angechukua dolla lak 2 akatia , leo hii angekua na mil 11 kwa mwez... sijui jangwan walimloga, kakosa dili ya maisha
Hajatujua vizuri yule. ππππ naye ajiandae kisaikolojia kama wenzie.Huku atatulia tu kama walivyotulia watukutu wenzake kina mkude.
Mi nachoona wameangalia uwezo wake uwanjani mtani, haya ya nje yanarekebishika tu mtani.
Sema msitupie zongo tu kama mlivyofanya kwa gadiel, ajibu na niyonzima
Mbona kama unatofokea sasa mtaniMsitutishe.
Kwani kwenye soka kuna vitu havizuiliki saa ingine.
Huu ushauri mshachelewa Watani na cha ajabu mmekuja kuyajua baada ya sisi kumwacha ile majuzi. LolDogo ilibidi atusue mapema kuliko hata mbwana samatta; sema siasa za mpira wa yanga wa kuzuia wachezaji kutoka ndizo zilizomfikasha apo na Mbaya zaidi kwa sasa timu haithamini wachezaji waandamizi
Sema mpira was bongo kwa kuvunja Nazi na vibuyu naukubali, maana nasikiaga kale Katoto na Muhammed Hussein ukija pale utacheza kidogo utakula skadi za kutosha then waanza sugua.Hajatujua vizuri yule. ππππ naye ajiandae kisaikolojia kama wenzie.
Na mtamjua vizuri siku mumuanzishe halafu mumfanyie Sub huku akiwa anataka kuendelea kucheza hapo ndo mtaziona akili zake.
Hahahaaa. Lol.Mbona kama unatofokea sasa mtani
Mtani wait and seeHahahaaa. Lol.
Nawaambia tu Mtani from yesterday onwards we are ready for anything.
No way out kwani tumeshajua kwa sasa Yanga ni kama watoto Yatima kwani hatuna msaada toka kokote labda tuende FIFA.
Mpaka lini Mtani?
Usiniambie Mme miss malinzi.Hahahaaa. Lol.
Nawaambia tu Mtani from yesterday onwards we are ready for anything.
No way out kwani tumeshajua kwa sasa Yanga ni kama watoto Yatima kwani hatuna msaada toka kokote labda tuende FIFA ila hawa tiefuefu hamna kitu.
Mtasema yote leo. ππππ Ila kiukweli hakuna anayekubali kusugua benchi etiSema mpira was bongo kwa kuvunja Nazi na vibuyu naukubali, maana nasikiaga kale Katoto na Muhammed Hussein ukija pale utacheza kidogo utakula skadi za kutosha then waanza sugua.
Hilo la kufanyiwa sub mtani nikuhakikishie kwenye pesa hakuna jeuri uku alipokuja hakuna mkubwa wakututisha kwa sasa labda ni mwamedi tu
Hahahaa. Mtani umefanya nimecheka. Lol.Usiniambie Mme miss malinzi.
Mpaka umeongea ki malkia Leo kwa msisitizo mtani; ama kweli morrisoni sio MTU mzuri π
Uzuri haya mambo huwa yanakuja na kupita Mtani hivyo wala hatuna presha.Usiniambie Mme miss malinzi.
Mpaka umeongea ki malkia Leo kwa msisitizo mtani; ama kweli morrisoni sio MTU mzuri π
mlimtapeli sijui mlimpiga jujuMuacheni Ngasa wa watu hiyo ndo aina aliyoichagua kuchanga karata zake jamani. Lol