Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Hahahaaa. Tutalazwa kwa zamu mwaka huu.

Yaani ni mwendo wa mioyo kufyatuka tu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ila angalia usije ukaanza kulalamika bdae maana nyie mashabiki wa Utopolo furaha yenu huwa haidumu masaa24[emoji16]
 
Hahahaaa. Tuhamishie lawama kwa Mamluki kwani kitu gani banaa. 🤣
 
Nakubaliana nawe 100%. We still have a long way to go. FoS kama ahawakua wameridhika na kuooteza nafasi yao ya kupiga pale Club na pesa zao walizokua wanikopesha team kwa riba.
Hahahahaaa. Najiuliza hivi kimalikia kinakujaga muda gani mana naona na wewe umekimwaga leo? 🤣🤣🤣 Ndio machungu ama. 🤣🤣

Mtani Sanchez magoli
 
Asanteni wananchi kwa kuvaa, kununua, kujichora na kupeana zawadi za jezi za msimu uliopita, tukae tayari kwa jezi nyingine bora kabisa za msimu wa 2020/2021

#DaimaMbeleNyumaMwiko.

@Yangasc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…