Van pebles
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 2,861
- 5,305
Hahahaaa. Tutalazwa kwa zamu mwaka huu.
Yaani ni mwendo wa mioyo kufyatuka tu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila angalia usije ukaanza kulalamika bdae maana nyie mashabiki wa Utopolo furaha yenu huwa haidumu masaa24[emoji16]