Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Aisee hivi wakati unaandika hukudondosha simu kweli?😜 Daah naiona hofu uliyonayo kila nikisoma comments zako bora hili sakata liishe tu ili amani yako irejee😁
Hahahaaa. Halafu ulivyo kajanja kama haupo vile. 😂😂😂

Unajifanya kama hufuatilii yanayoendelea kumbe unapita kimya kimya ukisubiri yanayoendelea Twiefuefu.
 
Hahahaaa. Halafu ulivyo kajanja kama haupo vile. 😂😂😂

Unajifanya kama hufuatilii yanayoendelea kumbe unapita kimya kimya ukisubiri yanayoendelea Twiefuefu.
Hahahaa wape salaaaaam
Eti Shadeeya kwa sasa umetega nini kule Karume? 👂💣
 
Hii si mara ya kwanza....mawakili wa Yanga wana matatizo....inabidi Yanga wabadilike kwakweli. Wanatutia aibu kila siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…