Ushabiki sio uadui shtuka weweeee. 👌👌👌Nyani ni nyani tu, maana mumedanganywa mkajipanikisha sasa hivi mumepozwa na hao maflopper wasio na pa kwenda na ukijumlisha timu yao nayo imekuwa kama utopolo tu, haijafuzu klabu bingwa basi mumetuliaaaaaaaaa.... Mimeno nje kama mazuzu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi unafikiri Zahera, Moringa, Tshishimbi hawajawaambia kama hapo Utopoloni njaa imetamalaki?
Special kwenu jamani. Lol
Sesten Zakazaka
Penison
Troisième Ceil
Danpol
Don Clericuzio
Sanchez magoli
PTER
Payrol
#Etinisajiliumewakimbizaama?🤣🤣🤣🤣
Dah! Aisee🤣🤣🤣
Special kwenu jamani. Lol
Sesten Zakazaka
Penison
Troisième Ceil
Danpol
Don Clericuzio
Sanchez magoli
PTER
Payrol
#Etinisajiliumewakimbizaama?🤣🤣🤣🤣
Hahahaaaa. Usajili unaendelea.Nimekuja mbiyo najua kuna usajili mkubwa mmefanya!
Hahahaaaa. Usajili unaendelea.
Nimependa tu muamke na ako ka wimbo leo Mtani mpate kuchangamka. 😀
Haka kajukwaa hakatakagi hasira🤣Hahahaaa. Kamfute machozi DullyJr mana itakuwa analia huko kisa mazuzu tumesajili. 🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Aah!! Hawatupendi vipi Mtani?Sawa Mtani, Wakongoman mnawapenda ila wao hawawapendi.
Hivi ni Mkongoman gani amewahi kufanya makubwa hapo kwenu?
Aah!! Hawatupendi vipi Mtani?
Makubwa ukimaanisha nini Mtani?
Hahahaa.Haka kajukwaa hakatakagi hasira🤣
Eeeh! Unamfahamu kidogo!?Mnachukua Cedrick ?
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha hii sio type ya yakpe material mtani.
Special kwenu jamani. Lol
Sesten Zakazaka
Penison
Troisième Ceil
Danpol
Don Clericuzio
Sanchez magoli
PTER
Payrol
#Etinisajiliumewakimbizaama?🤣🤣🤣🤣
Kazi sana kuwaelimisha hawaUshabiki sio uadui shtuka weweeee. [emoji108][emoji108][emoji108]
Usajili Mkubwa ni huuNimekuja mbiyo najua kuna usajili mkubwa mmefanya!
Nyie subirini msimu ujao tuwa-Tonombe.Nyani ni nyani tu, maana mumedanganywa mkajipanikisha sasa hivi mumepozwa na hao maflopper wasio na pa kwenda na ukijumlisha timu yao nayo imekuwa kama utopolo tu, haijafuzu klabu bingwa basi mumetuliaaaaaaaaa.... Mimeno nje kama mazuzu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi unafikiri Zahera, Moringa, Tshishimbi hawajawaambia kama hapo Utopoloni njaa imetamalaki?
Mmmh!! Ukiona mtu perfomance yake inashuka basi ujue lilikuwa garasa hilo Mtani.Hawawapendi kwa maana wakishafika kwenye timu yenu performance zao zinashuka.
Makubwa nikimaanisha kucheza kwa kiwango kinacho acha kumbukumbu.
Hahahahahahahahah Kwa timu gani hahahahahahahahahNyie subirini msimu ujao tuwa-Tonombe.
Na walisema alishafanya kazi Tz.Ila mwalimu nasikia tetesi atatokea burundi