Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Nyani ni nyani tu, maana mumedanganywa mkajipanikisha sasa hivi mumepozwa na hao maflopper wasio na pa kwenda na ukijumlisha timu yao nayo imekuwa kama utopolo tu, haijafuzu klabu bingwa basi mumetuliaaaaaaaaa.... Mimeno nje kama mazuzu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hivi unafikiri Zahera, Moringa, Tshishimbi hawajawaambia kama hapo Utopoloni njaa imetamalaki?
Ushabiki sio uadui shtuka weweeee. 👌👌👌
 
Nimekuja mbiyo najua kuna usajili mkubwa mmefanya!
Usajili Mkubwa ni huu
IMG-20200817-WA0071.jpg
 
Nyani ni nyani tu, maana mumedanganywa mkajipanikisha sasa hivi mumepozwa na hao maflopper wasio na pa kwenda na ukijumlisha timu yao nayo imekuwa kama utopolo tu, haijafuzu klabu bingwa basi mumetuliaaaaaaaaa.... Mimeno nje kama mazuzu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hivi unafikiri Zahera, Moringa, Tshishimbi hawajawaambia kama hapo Utopoloni njaa imetamalaki?
Nyie subirini msimu ujao tuwa-Tonombe.
 
Hawawapendi kwa maana wakishafika kwenye timu yenu performance zao zinashuka.

Makubwa nikimaanisha kucheza kwa kiwango kinacho acha kumbukumbu.
Mmmh!! Ukiona mtu perfomance yake inashuka basi ujue lilikuwa garasa hilo Mtani.

Kaputeini wetu msimu uliopita mbona alituonyesha kiwango bora toka tumemsajili kabla ya kupata majeraha.
 
Back
Top Bottom