Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Ushabiki sio uadui shtuka weweeee. 👌👌👌Nyani ni nyani tu, maana mumedanganywa mkajipanikisha sasa hivi mumepozwa na hao maflopper wasio na pa kwenda na ukijumlisha timu yao nayo imekuwa kama utopolo tu, haijafuzu klabu bingwa basi mumetuliaaaaaaaaa.... Mimeno nje kama mazuzu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi unafikiri Zahera, Moringa, Tshishimbi hawajawaambia kama hapo Utopoloni njaa imetamalaki?