Huyu Tuisila ni mchezaji wa Simba SC next season,Duuhh!! Sasa ndo unatubananisha kwa kutuita kauli zisizofaa Mtani.
Ilishaisha iyooo ishu ya Morison saa hizi tupo na kina Tuisila.
Mtani yule mzee wetu msamehe tuUmepatia sio siri Mtani.
Hakuna mchezaji hapoHuyu Tuisila ni mchezaji wa Simba SC next season,
Tega sikio.....
Kwanza muulize mapema GSM maana msije baadae mkaambiwa walikuwa wamesinya mkopo wa miezi 6 mkaanza kulialia majukwaani humu,
Jamaa hawana namba kule na timu imefilisika hawawezi kulipa pesa mingi mtu yupo mbao ndefu so wamesinya mkopo wa msimu mmoja kama Makambo tu, msije kuja sema hamjaambiwa mkaanza kung'ang'ania wachezaji wa watu.
NB: Mmehakikisha dole gumba lipo? [emoji23]
Kwakweli itakuwa aibu ya mwaka kufungwa na wastaafuHamna jambo lolote nyie jiandaeni kisaikolojia tu
MTU mzima hatishiwi Nyau.
Special kwenu jamani. Lol
Sesten Zakazaka
Penison
Troisième Ceil
Danpol
Don Clericuzio
Sanchez magoli
PTER
Payrol
Albinoomweusi
Mnazareth
Van pebles
Bill
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] asante.. lakn nikujuze tu Papa Molinga alikua bora kuliko huyo mshambuliaji wenu , mwaka mzima hana goli
Special kwenu jamani. Lol
Sesten Zakazaka
Penison
Troisième Ceil
Danpol
Don Clericuzio
Sanchez magoli
PTER
Payrol
Albinoomweusi
Mnazareth
Van pebles
Bill
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] asante.. lakn nikujuze tu Papa Molinga alikua bora kuliko huyo mshambuliaji wenu , mwaka mzima hana goli
ila ligi yao kule huenda ni ngumu, who knows, anaweza fanya vizuri
Loh,Hakuna mchezaji hapoView attachment 1540937
Makazi ya wazee fcLoh,
Huyu anaenda kula mshahara wa bure kule monkey's camp
Wenye kutwaa vikombe vyote ambavyo hao unaowanasibu kuwa vjana walishiriki pia. Sio vjna sema "VIGOLI" hahahaMakazi ya wazee fcView attachment 1541035
Akili finyu hizi.. Hao wazee ndio wanatwaa vikombe sijui sasa vigoli wenu wanashindwa wapi..Makazi ya wazee fcView attachment 1541035
Vikombe vipi!!?Akili finyu hizi.. Hao wazee ndio wanatwaa vikombe sijui sasa vigoli wenu wanashindwa wapi..
Naona mtani angalau GSM ameamua kuwafuta machozi, kazi kwenu kumfuta naye machozi kwa kua wavumilivu, Lasivyo mtafanya mlichofanya msimu uliyopita
Special kwenu jamani. Lol
Sesten Zakazaka
Penison
Troisième Ceil
Danpol
Don Clericuzio
Sanchez magoli
PTER
Payrol
Albinoomweusi
Mnazareth
Van pebles
Bill