Mwisho wa siku tu niseme hamna kitu ambacho anaeza fanya Yanga na nyie mkasapoti hivyo iishie tu kwenye kile mnachokiamini Mtani kama ni ulimbukeni ama la.Hahahah.
Mtani mie sijaonyesha chuki ila nimeshangazwa kipi kilichosababisha wambebe!??
Labda ulimbukeni Si engineer huyo jamaa[emoji848][emoji23]
Hahah huyu tumpumzishe tu anajitahidi sana na ni rafiki yetu tumsamehe tu leoNaona anakwepa kwepa swali langu.
Ngoja tumpumzishe maana wanayoyafanya wenzake hata yeye anayaonea aibu.
WALIPOFIKA MAENEO YA KARIAKOO HALI ILIKUWA KA HIVI πππHahah huyu tumpumzishe tu anajitahidi sana na ni rafiki yetu tumsamehe tu leo
Hahah huyu tumpumzishe tu anajitahidi sana na ni rafiki yetu tumsamehe tu leo
Weeeee. π€£Sasa hivi namtania kihuruma huruma, maana hali yake si nzuri.
Inawezakana na wewe ni mmoja wapo wa hao waliombeba huyo jamaa.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Lakini si mtafukuza wote na kuleta wengine dirisha jipyaILA NAOMBEA HAWA MAJAMAA WASIWE TYPE YA KINA YIKPE, NA MORISSON MANA TUTAWEKA WAPI SURA ZETU KWA SHANGWE HILI. [emoji848][emoji848]
View attachment 1543046
Afu cha ajabu waliyembemba kavaa jezi ya As Vita.[emoji23][emoji23][emoji23]
Baada ya kuona hawawezi tena kubeba Makombe wameona waanze kubebana wao kwa wao.View attachment 1543365
πππNa yeye mtambeba?