Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

MODS sie wafurukutwa wa YANGA tunahitaji habari za club yetu tukufu mziweke kwenye ukumbi mmoja ili tupate mtiririko mzuri. Mbona kumbi zingine zinaeleweka?

Bahati mbaya hata ya watani naona ina gain kidogo. Au nyie pia ni walewale wa msituni? Hata kama cha msingi muwe objective katika hili. Kazi njema
 

Teh teh ulisahau kuwa Simba ni ya Dar es salaam na Yanga ni ya Tanzania
 
Teh teh ulisahau kuwa Simba ni ya Dar es salaam na Yanga ni ya Tanzania

Teh teh kama kana ukweli ndani yake haka kahabari vle. ngoja tusubiri watatetea nini
 

Hivi ule nao unaita uwanja? Kama mna uwanja kwa nini mnaenda kufanyia mazoezi Uhuru?

Klabu kubwa haipimwi kwa mechi za mchangani bali kwa mashindano ya kimataifa ambayo mnyama ndio mwenyewe. Yebo yebo ni michuano gani ya kimataifa ambayo wamewahi kufika japo nusu fainali?

Kutembeza bakuli yebo yebo ndio wenyewe au umesahau wakati Ngozoma Matunda alipoomba timu ichangiwe mchele na maharagwe?
 

Yebo yebo acha uvuvi, Gang Chomba kaweka habari hizo siku nyingi hadi akabaki mchangiaji pekee weye unaanza kulalamikia mods.

Nekistitaimu shughulisha kidogo ubongo waako wa ki Yanga asili.
 
why washabiki wengi wa yanga ni iliterate?????????????????????
Yanga is the most successful club in the country's local soccer history - 22 times champions vs Simba's 16. Inawezekana mafanikio haya yametokana na tag ya u-illiterates unayoipa...lol!! Nilikuwa nataka kusahau...... Dalali ana Phd na Madega kaishia std 4!!!
 

ni mashindano yapi ya kimataifa ambayo Simba imefanikiwa kubeba kombe nje ya mipaka na kulileta ndani?

Nenda kawaulize waganda nini tuliwafanya kwao mpk serikali ya Bongo ikatuma ndege kutufuata Entebe.
 
Yebo yebo acha uvuvi, Gang Chomba kaweka habari hizo siku nyingi hadi akabaki mchangiaji pekee weye unaanza kulalamikia mods. Nekistitaimu shughulisha kidogo ubongo waako wa ki Yanga asili.

kwa mawazo yako watu hujishughulisha ubongo hapa jukwaani tu? so many things to do, man
 
ni mashindano yapi ya kimataifa ambayo Simba imefanikiwa kubeba kombe nje ya mipaka na kulileta ndani?

Nenda kawaulize waganda nini tuliwafanya kwao mpk serikali ya Bongo ikatuma ndege kutufuata Entebe.

Acha ushamba weye. Kwa sababu France na England zilichukua kombe la dunia nchini mwao unataka ku-undermine ubngwa wao? CECAFA championship bado ni kombe la mbuzi tu ambalo hata hivyo Simba ni watemi.

Kuhusu ndege ya serikali ama kweli maskini akipata ****** hulia mbwata. Yaani hiyo mara moja ndio unasimulia hivyo? Hukumbuki wakati Simba inashiriki mashindano ya CAF, walipoenda Algeria kucheza na USM El Harach kablaya kwenda kuwatoa Aviacao wa Angola.

Kwenda kwenye mechi ya fainali walipewa ndege pia sijui unataka kutuambia nini wewe mzushi.
 

Ok mkaenda Algeria kisha mkaenda Angola kucheza na ASA...enhee mlichukua kikombe?

Nyie ndo mnaoshangilia mimba.
Subiri mtoto sheikh.

Hayo mambo sijui tulifika final ya CAF mara sijui yakaenda yakarudi...mimi huwa siyataki. Wewe zungumzia mafanikio uliyonayo.

Kama ni hivyo basi Arsenal isingekuwa inakimbiwa na wachezaji wanaotaka vikombe.
 

Monsignor, haka ka gangster chombo bado kanajaribu kujua historia ya michezo; so dont be hard on him... he is learning through mistakes!!!
 

Walau mimba kama ilionekana mengine yanaelezeka sasa wewe unalala na mwanamke kila siku na watu hawaoni matokeo yake utajiitaje rijali?

Kufika fainali ni mafanikio tena makubwa tu na ikiandikwa utaona kuwa "among Simba sports club achievements include reaching the finals of the Confederation cup..." lakini huoni wanasema kwa Yebo Yebo kuishia raundi ya pili kwa kufungwa na Ismailia magoli sita ni achivement.
 
Monsignor, haka ka gangster chombo bado kanajaribu kujua historia ya michezo; so dont be hard on him... he is learning through mistakes!!!
Nimekusoma kwa nguvu ya 5 mkuu ila acha twende nako hivyo hivyo maana baada ya mechi na Sant Eloi Lupopo watakapopigwa goli nne hutakaona tna na thread yake kataitelekeza
 
Waambieeeeeeeee hawajui hawa kuwa Yanga ni sawa na mwanaume kiwembe lakini hasiyekuwa hata na mimba ya kusingiziwa kwa mwanamke mmoja na wala hatumii condom
 
Nyie mnatumia vichwa kubebea masikio...
Hivi kufika fainali ya mashindano fulani nayo ni mafanikio?

Basi Chelsea wasingemtimua Grant.
 
Nyie mnatumia vichwa kubebea masikio...
Hivi kufika fainali ya mashindano fulani nayo ni mafanikio?
Basi Chelsea wasingemtimua Grant.

Tumebakiza Gemu 7 kati ya Hizo 5 ni Shamba la bibi, hatoki mtu pale kwa Mnyama!
 
Tumebakiza Gemu 7 kati ya Hizo 5 ni Shamba la bibi, hatoki mtu pale kwa Mnyama!

Ndo chakujivunia hicho?
Elezeni mna mafanikio gani...
Sio mnakurupuka tu hata kupaka chokaa jengo lenu mnashindwa.
 
Leo katika uwanja wa UHURU timu za Yanga na Mtibwa zinapambana kwenye ligi ya VODACOM mwenye matokeo tunaomba atujulishe ili tupate kujua nani na amefanya nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…