Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Umenena vyema mtaniSisi uvumilivu tunao sana shida iko huko kwenu upande wa pili mana mnavyopiga mdomo as if hamna kitu kafanya Yanga jana wakati tulimiliki mpira kwa kiasi kikubwa tu ila ndio hatukuwa na bahati pamoja na umakini kwa baadhi ya wachezaji hasa walipolikaribia lango kwani wengi walikuwa na pupa + papara.
Watu wadikiliza kelele za mikia, unajua timu yetu, iko mpya kabisa, kama wachezaji wote waliocheza wanne tu ndiyo walikuwa Katika timu ya msimu uliopita. Hiyo. Lakini wamecheza vizuri, ni mambo madogo madogo, tumaini kocha atayafanyia kazi.Sisi uvumilivu tunao sana shida iko huko kwenu upande wa pili mana mnavyopiga mdomo as if hamna kitu kafanya Yanga jana wakati tulimiliki mpira kwa kiasi kikubwa tu ila ndio hatukuwa na bahati pamoja na umakini kwa baadhi ya wachezaji hasa walipolikaribia lango kwani wengi walikuwa na pupa + papara.
kinachofwata ni kipigoHivi Mtani sare tu ndio mnaishadadia namna hii?
Si ni matokeo pia.
Wambeya ni nyinyi ShadeeyaMmbea nani Kigwa au sisi?
Msimu uliomalizika mlipata draws 14 kama sikosei, iyo tabia ya draws mnaendeleza msimu huu tenaInatosha Mtani. Nionavyo sio mwanzo mbaya.
Inatosha Mtani. Nionavyo sio mwanzo mbaya.
HahahahaYes, ndiyo maana nimesema point muhimu.
Kwa timu yenu ilivyo mpya wachezaji hawajajuana kabisa, point 1 ni ya kuishangilia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Goallllllllllllllllllllllll
Dakika 109 Senzo anaifungia ZoaZoa Fc Goli la 2
Zoazoa Fc 2 Prisons 1 Huyu Senzo ni balaa anawasumbua sana Prisons.
Umesema kweli Mtani naamini baada ya mechi kadhaa itakuwa bora zaidi ya pale.
Hebu huko hujanisomesha. 😂😂😂😂Yanga need to strive to turn draws into wins to challenge for the title. They registered 14 draws last season, their worst record in 12 seasons.
Interestingly, half of the 14 draws last season came against opponents that they will face in the opening 7 matches this season
Naaam Jana nadhani Niyo angeingia nafasi ya Nchimbi, ila mtani kikosi kipo ,mpk niyonzima,tonombe,kisinda wanaanza bench ,na bado timu INA uhaiUmesema kweli Mtani naamini baada ya mechi kadhaa itakuwa bora zaidi ya pale.
Basi ihefu 2 simba 2Hata la Kagere lilikua clear goli lakini pamoja na kwamba lilikataliwa lakini refa aliharibu mchezo, goli la 2 la Ihefu lingehesabiwa lazima ingewaongezea Ihefu nguvu ya kupambana zaidi tofauti na lilivyokataliwa. Pia kibendera aliamua tu kusawazisha makosa napo alifanya vile kwa sababu alijua matokeo yake hayaiathiri simba, still watakua mbele goli 2-1
KashajibiwaHamna wa kukujibu hapo wengi wao hasira za ile ishu ya Kigwa wameona pa kujipozea ni kwenye hii mechi yetu.
Oooh! Word i can tell you is that the team which we have now is very different with that of the season of 2019/2020Yanga need to strive to turn draws into wins to challenge for the title. They registered 14 draws last season, their worst record in 12 seasons.
Interestingly, half of the 14 draws last season came against opponents that they will face in the opening 7 matches this season
alafu mnakaratibu kagumu ..Oooh! Word i can tell you is that the team which we have now is very different with that of the season of 2019/2020
#Usikariri
[emoji23][emoji23][emoji23]Hebu huko hujanisomesha. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakika Mkuu.Watu wadikiliza kelele za mikia, unajua timu yetu, iko mpya kabisa, kama wachezaji wote waliocheza wanne tu ndiyo walikuwa Katika timu ya msimu uliopita. Hiyo. Lakini wamecheza vizuri, ni mambo madogo madogo, tumaini kocha atayafanyia kazi.
Aisee!! 🤔[emoji23][emoji23][emoji23]
Natamani mvuruge mechi nyingine mbili tu, hamtupati tena, na msimu utakua umeisha
Ikatokea utani utani Mbeya city akawanasa nae hapa, hiyo bye bye, ubingwa msahau.. najua hao walima miwa mmoja atawazuia tena, huwafungi wote [emoji1][emoji1][emoji1]Aisee!! [emoji848]
Ama kweli siku zote adui muombee njaa.