Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Umenena vyema mtani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wadikiliza kelele za mikia, unajua timu yetu, iko mpya kabisa, kama wachezaji wote waliocheza wanne tu ndiyo walikuwa Katika timu ya msimu uliopita. Hiyo. Lakini wamecheza vizuri, ni mambo madogo madogo, tumaini kocha atayafanyia kazi.
 
Goallllllllllllllllllllllll
Dakika 109 Senzo anaifungia ZoaZoa Fc Goli la 2
Zoazoa Fc 2 Prisons 1 Huyu Senzo ni balaa anawasumbua sana Prisons.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hebu huko hujanisomesha. 😂😂😂😂
 
Basi ihefu 2 simba 2
 
Oooh! Word i can tell you is that the team which we have now is very different with that of the season of 2019/2020

#Usikariri
 
Oooh! Word i can tell you is that the team which we have now is very different with that of the season of 2019/2020

#Usikariri
alafu mnakaratibu kagumu ..

Mbeya city ni nyepesi kwenu ila sasa mna kagera na mtibwa zote ugenini
 
Watu wadikiliza kelele za mikia, unajua timu yetu, iko mpya kabisa, kama wachezaji wote waliocheza wanne tu ndiyo walikuwa Katika timu ya msimu uliopita. Hiyo. Lakini wamecheza vizuri, ni mambo madogo madogo, tumaini kocha atayafanyia kazi.
Hakika Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…