Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Hivi Mkuu unahangaika na DullyJr ? [emoji23][emoji23][emoji23]

Huyooo. Mwanzoni sikuwa namuelewa ila sasa huwa nikiona post zake nacheka tu.

Yupo Kutukkkeeeeraaa tu akijua ipo siku tutahama timu.

"DaimaMbeleNyumaMwiko"
Jamani mbona mimi sio wa hivyo, unanionea tu
 
Kitendo cha kumuanzisha Faisal, Mauya na Mukoko nilijua tu hapa tunaenda kujilinda na sio kushambulia. Timu imekatika mbele wanacheza kivyao na midfield+defence nao wanacheza kivyao. Ilifaa Niyonzima na Farid wawepo hii game. Kama kocha anataka kutoboa ilibidi aanze na Mukoko na mmoja kati ya mauya/Faisal Kisha niyonzima acheze juu kulisha wafungaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…