Jamani mbona mimi sio wa hivyo, unanionea tuHivi Mkuu unahangaika na DullyJr ? [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyooo. Mwanzoni sikuwa namuelewa ila sasa huwa nikiona post zake nacheka tu.
Yupo Kutukkkeeeeraaa tu akijua ipo siku tutahama timu.
"DaimaMbeleNyumaMwiko"
Jamaa kajaaliwa usafiri[emoji23][emoji23]
Kwahiyo mijezi ya zamani ndio ya mazoezi[emoji1787][emoji1787] na hii atlas ndio ya mechi,. Shikamoo GSM mpaka stock iishe[emoji24]KUELEKEA MECHI NA KAGERA SUGAR HAPO 16:00HRS LEO. TIMU KAMA KAWA JANA ILIENDELEA NA MAZOEZI.
Wewe ni fngu la kukosa
Tusubiri tuone Mtani.
Mie Alhamdulillah nipo nasubiria kutoa kichapo kwa walima Miwa wa Kagera.Yap mzima kabisa vipi wewe?
Acha kabisa Mtani. Hatimaye.
Acha kabisa Mtani. Hatimaye.
Dkk 90 zitaongea MtaniSioni yanga ikishinda hii mechi.
Kila nikipiga ramli naona Hali mbaya kwa yanga
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
usihofu itafungukaDaah!! Naona milango migumu bado.
Naona tunacheza Yanga lakini we ndo kiti hakikaliki. Lol. kulikoni?usihofu itafunguka
mtani bado kikosi chenu hakijatulia kabisa, tokea mmeanza ligi mmekutana na nyasi bandia tu, ngoja mkutane na zile nyasi za kulishia ng'ombe ndo mtajua ugumu wa mechi ulivyoDaah!! Naona milango migumu bado.
Hii mipira ya juu Yanga inaniudhi mm cjui tutaacha lini, mbn Fei Toto katulia hawa wengine wakipata tu wanataka kuwahi kwenda mbele matokeo yake wanapoteza mipira kizembe kabisa.HALF TIME KAGERA 0 - YANGA 0