Huyu Nchunga anastahili kuchinjwa,haiwezekani tunafungwa kipigo cha aibu
Huyu Nchunga anastahili kuchinjwa,haiwezekani tunafungwa kipigo cha aibu
Full Time
Yanga 4, JKT Oljoro 1
presha inatuanza mapema.urafiki cup yanga 2 - 3 jamhuri gemu imeisha
ACCORDING to Global Publishers mmerusha pesa za pilau za mama ntilie kwenyepresha inatuanza mapema.
Ni timu B kweli mkuu ilipelekwa halafu nasikia wamefukuzwa na chama cha soka za Zanzibar kwa kushirikiana na serikali ya huko, wanayanga njooni mthibitishe ni kweli watoto wenu wamerudishwa?nasikia imeenda timu B ni kweli?
Ni timu B kweli mkuu ilipelekwa halafu nasikia wamefukuzwa na chama cha soka za Zanzibar kwa kushirikiana na serikali ya huko, wanayanga njooni mthibitishe ni kweli watoto wenu wamerudishwa?
Yananihusu, bila ndala kuwatungua kombe la urafiki halinogi.Masuke,yanakuhuuuu??
yanga hawana timu B, labda kama wliokoteza wachezaji mitaani halafu wakawapa jezi wakacheze!Ni timu B kweli mkuu ilipelekwa halafu nasikia wamefukuzwa na chama cha soka za Zanzibar kwa kushirikiana na serikali ya huko, wanayanga njooni mthibitishe ni kweli watoto wenu wamerudishwa?
jamani jana okwi alicheza?