Kwani kasema wawapige ?Msikilize mtu kama huyu unamwelewaje? Chukulia ndo anakwambia wewe sasa?
View attachment 1584631
Yes, 27 for Yanga, ukihesabuSijajua Mkuu sababu kama hapa wameandika ni bingwa mara 27.
Ligi Kuu Tanzania Bara - Wikipedia, kamusi elezo huru
Sijakuelewa hata.Kwani kasema wawapige ?
Na haiwezi kuwa justification ya nyie kupiga mashabiki wa Timu zingine.
Huu ni ushamba tu
🤝
Ujue inachekesha sana huyo huyo ropo ropo aliyechochea kuni mbio eti anapendekeza tucheze bila mashabiki si ajabu hiyo?Hawa mikia wameona kututukana na kutudhalilisha kwa mropokaji wao wa timu haitoshi, wameamua kuja kuleta ukhanithi wao na ufirauni kwenye mechi zetu. .... Nasemaje Mnachokitafuta mtakipata. Mtapigwa , tukiona haimbadiliki tutaanza Kuwafira kabisa wajinga ninyi
Hiyo ya Morison ni ya lini?Hii muvi kama vile nimeliona [emoji51]View attachment 1584750View attachment 1584754
Aombe radhi ya nini?Aombe radhi kwanza, aache janjajanja
Kabla hajaenda SimbaHiyo ya Morison ni ya lini?
Mbona club ilishaomba radhi mkuuAombe radhi ya nini?
Dah! Afadhali pressure imeshuka sasa maana nilishawaza mbaali sana🤣🤣🤣Kabla hajaenda Simba
[emoji23][emoji23][emoji23]Dah! Afadhali pressure imeshuka sasa maana nilishawaza mbaali sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na pale Yanga walikuwa wakicheza na Mtibwa. Nashangaa simba kudai mashabiki zao kupigwa. Kwani Yanga walikuwa wakicheza na simba?Kwani walipigwa mpira ukiwa unaendelea Mtani? Pale msiishie kuwalalamikia walio wapiga inatakiwa mujiulize kilitokea nini mpaka wakapigwa mana mwanzoni walikuwa wametulia tu na hakuna aliyekuwa na habari nao.
Uzuri mashabiki wetu wakija kwenye mechi zenu huwa hawana vimbelembele + viherehere sa sijui mtawapiga saa ngapi.
Nadhani Hawa mikia wamechanganyikiwa, HABARI INGEKUWA "MASHABIKI WA MTIBWA WAPIGWA" nashangaa MASHABIKI wa mikia wapigwa. Wana Habari nao wamepotosha.Na pale Yanga walikuwa wakicheza na Mtibwa. Nashangaa simba kudai mashabiki zao kupigwa. Kwani Yanga walikuwa wakicheza na simba?
Ndio hapo sasa ingekuwa mechi nao hapo sawa sasa mechi hata haiwahusu hivyo ni viherehere tu ndo vimewaponza sababu kama kupigwa wangepigwa mashabiki wa Mtibwa.Na pale Yanga walikuwa wakicheza na Mtibwa. Nashangaa simba kudai mashabiki zao kupigwa. Kwani Yanga walikuwa wakicheza na simba?