Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Sijajua Mkuu sababu kama hapa wameandika ni bingwa mara 27.
Ligi Kuu Tanzania Bara - Wikipedia, kamusi elezo huru
Yes, 27 for Yanga, ukihesabu
IMG_20200929_161727_001.JPG
IMG_20200929_161809_438.JPG
 
Hawa mikia wameona kututukana na kutudhalilisha kwa mropokaji wao wa timu haitoshi, wameamua kuja kuleta ukhanithi wao na ufirauni kwenye mechi zetu. .... Nasemaje Mnachokitafuta mtakipata. Mtapigwa , tukiona haimbadiliki tutaanza Kuwafira kabisa wajinga ninyi
 
Hawa mikia wameona kututukana na kutudhalilisha kwa mropokaji wao wa timu haitoshi, wameamua kuja kuleta ukhanithi wao na ufirauni kwenye mechi zetu. .... Nasemaje Mnachokitafuta mtakipata. Mtapigwa , tukiona haimbadiliki tutaanza Kuwafira kabisa wajinga ninyi
Ujue inachekesha sana huyo huyo ropo ropo aliyechochea kuni mbio eti anapendekeza tucheze bila mashabiki si ajabu hiyo?
 
Kwani walipigwa mpira ukiwa unaendelea Mtani? Pale msiishie kuwalalamikia walio wapiga inatakiwa mujiulize kilitokea nini mpaka wakapigwa mana mwanzoni walikuwa wametulia tu na hakuna aliyekuwa na habari nao.

Uzuri mashabiki wetu wakija kwenye mechi zenu huwa hawana vimbelembele + viherehere sa sijui mtawapiga saa ngapi.
Na pale Yanga walikuwa wakicheza na Mtibwa. Nashangaa simba kudai mashabiki zao kupigwa. Kwani Yanga walikuwa wakicheza na simba?
 
Mmesahau kubwa Manara amemtukana sana a kumdhalilisha morison kabla hajaenda Mikia??
 
Sasa hivi ukimquote mtu wa utopolo, ndala, yeboyebo, mbwa, nyani, usisahau emoji hizi[emoji2187][emoji2187][emoji119][emoji120][emoji2089][emoji2089][emoji2088][emoji2088][emoji2222] la sivyo utachezea vitasa mpaka ufe, dawa ni kuyatania alafu unatoka nduki.... [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Mambwa hayooooo [emoji119][emoji119][emoji119]
 
Back
Top Bottom