kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,305
- 6,341
Mkuu identity yetu ni wings zifanye kazi zaidi sasa hadi sasa wings zimeengeneza nafasi ngapi za wazi? Tuna winga wawili Wa nguvu Farid na Tuisila cha ajabu kila mechi ya ushindani mwalimu anampanga Fernandez winga ilihali hana nguvu,hana speed na hasaidii defense. Na hata kupitia hyo identity yetu bado huwa tunatengeneza nafasi vizuri tu toka kati sasa Leo kila kitu hakiwezekani na mwalimu kakaa na timu kwa mwezi mzima hakuna hata dalili ya mwangaza!?Ni hakika hata huyo ajae hatodumu
Yanga mmewah kua na falsa ya kuweka mpira chini kweli?? hamna identity yenu uwanjani, na endapo mtataka kua nayo haiji hvi hivi tu, tengenezen timu kwanza, tafuta watu wa kuweza kukupa hiyo identity, Mna Haruna pekee probably na Tonombe, ndio wenye vitu hvyo, ongezen aina hiyo ya wachezaj na maeneo mengine, hivi hiv ni uongo