Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Kuna jamaa anashauri hapa kuwa nyie yanga mtaarifuni mapema kocha wenu mpya kuwa anayekuja asije na mabegi
 
Timu ya Wananchi jana iliendelea na mazoezi kujiandaa na mechi ya Ligi Kuu inayofuata.
20201007_053438.jpg
 
Hamna nafasi katika kutushauri Ses.

"DaimaMbeleNyumaMwiko

Mashabiki wa Simba mlioweza kutunza historia ya wakali wa Msimbazi hasa wale wa mwaka 1993, chini ya mlinda mlango nguli Mohamed Mwameja na sisi tutupie specia thread ya Simba Sports Club! Simba tunasifika kwa records nzuri za kimataifa hadi hapa majuzi tumecheza robo fainali ya Ligi ya Mabingwa sio padogo, tupo level ya juu tuna mengi ya kuisifia Club yetu!
Wazo zuri sana hili
 
Tukisemaga Tiefuefu yakwao wanakataa.

Juzi tu ropo ropo wao alisema tarehe zinazoangukia na nane hizo ni lazima wapate kichapo sasa huenda Baba alisikia ndio maana akaamua kufanya waliyoyafanya.
Tifuatifua kwakuwabeba mikia!!!
Ndio nini sasa kuahirisha mechi yetu ya October 18?
Ila kipigo kwa mikia kipo pale pale

Sent from my TECNO-C7 using JamiiForums mobile app
 
In
Tukisemaga Tiefuefu yakwao wanakataa.

Juzi tu ropo ropo wao alisema tarehe zinazoangukia na nane hizo ni lazima wapate kichapo sasa huenda Baba alisikia ndio maana akaamua kufanya waliyoyafanya.
Tumependa huko kuahirishwa ili kocha mpya mtakae mleta apate muda mzuuri wa kuisuka tumu yenu. Hatutaki kisingizio chochote kwamba "oooh, sisi kocha wetu hakuwa na muda wa kutosha kuiandaa timu"..... tunataka kuwafunga mkiwa na kikosi kilichotimia na mwalimu wa uhakika
 
Back
Top Bottom