Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Muone na ile siku mtakayobugizwa nyingi huko Nigeria. πŸ˜‚
Dah! Dua la kuku hilo ujue Shadeeya.

Nashangaa hamtuungi mkono wakati tunatetea nchi ili baadae nyie mtakao kua washindi wa tatu kwenye ligi mpate angalau nafasi kushiriki michuano ya CAF?
 
Hamuwezi kuwa mabingwa kwa hujuma dhidi yetu. Ushindi upo uwanjani na si vinginevyo
Hakuna wa kuwahujumu semeni tu mmeshaona hamna matumaini ya hiyo mnayoita kuchukua miaka kumi mfululizo hivyo mnatafuta sababu ili kuwafariji mashabiki wenu ambao mlishawadumaza na kuwaaminisha kitu ambacho hakiwezekani.
 
Hakuna wa kuwahujumu semeni tu mmeshaona hamna matumaini ya hiyo mnayoita kuchukua miaka kumi mfululizo hivyo mnatafuta sababu ili kuwafariji mashabiki wenu ambao mlishawadumaza na kuwaaminisha kitu ambacho hakiwezekani.
Kwa uzuri wa bahati(wanajisemea watu wa Kigoma) points zinahesabiwa kila baada ya mechi kuisha. Najua mmetangulia point nne, lakini kadri ligi itakavyoendelea ndio mtakua mnadondosha mbilimbili kama sio tatu tatu na kutupa nafasi ya kuwapita kama mmesimama. Na tusubiri tuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…