Hakika Mkuu. Kikubwa wachezaji wasibweteke kwa kuridhika na matokeo ya nyuma.Itapendeza tukimaliza mwaka na Point 3 za nguvu
Utopolo hiyo match sio ya vpl ni ya FA kwa hiyo hamna cha point 3 za nguvu.Itapendeza tukimaliza mwaka na Point 3 za nguvu
Ni match ya VPL mzunguko wa pili ndio umeanza.....mechi ya FA ilihairishwa.Utopolo hiyo match sio ya vpl ni ya FA kwa hiyo hamna cha point 3 za nguvu.
Ok tuko pamoja.Ni match ya VPL mzunguko wa pili ndio umeanza.....mechi ya FA ilihairishwa.
😂😂😂 yuko nyuma huyo.Ni match ya VPL mzunguko wa pili ndio umeanza.....mechi ya FA ilihairishwa.
Huna akili mkuu!Utopolo hiyo match sio ya vpl ni ya FA kwa hiyo hamna cha point 3 za nguvu.
Hakika wewe ni Mnyero fc, hata hujui kinachoendelea kwenye soka letu, kazi kukurupuka tu. Haya kaa hivyo hivyo hii ni mechi ya FA Wala haina point 3Utopolo hiyo match sio ya vpl ni ya FA kwa hiyo hamna cha point 3 za nguvu.
Mkuu nasikia saido na yocuba wanaumwa[emoji23][emoji23][emoji23] yuko nyuma huyo.
Hadi kufikia Keshokutwa siku ya mechi hao lazima wacheze tu, na hii inaweza kuwa game trick tu!!Mkuu nasikia saido na yocuba wanaumwa
Ndio Kocha alisema hayo majuzi. Ila si ajabu Kesho wakawa wamerecover na akawapanga.Mkuu nasikia saido na yocuba wanaumwa
Alivunjwa nyonga na Wema SepetuHivi na Carlinhos yupogo wapi jamani , au ndio Soka la Tanzania lishamshinda? [emoji848]
Mana juzi Kocha alipokuwa anataja wachezaji wagonjwa wala hakumtaja zaidi ya Seido, Sogne na Kabwili.
Mungu asaidie tu waponeHadi kufikia Keshokutwa siku ya mechi hao lazima wacheze tu, na hii inaweza kuwa game trick tu!!
Pole yake.Alivunjwa nyonga na Wema Sepetu
Ko nyonga la mapenzi halihesabiki
Kama ni injury wa uwanjani ndo mana
Hakumtaja
Kapo kanapiga piga gyymAlivunjwa nyonga na Wema Sepetu
Ko nyonga la mapenzi halihesabiki
Kama ni injury wa uwanjani ndo mana
Hakumtaja
Haka ka Hb Cha kireno kamekuja kwajili yakuidrand timu tuKapo kanapiga piga gyymView attachment 1662788