babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,916
- 6,697
Matusi ya nini boya weweAndika hv: alisikika jidada moja lenye tumbo kubwa BILA SHAKA NI MJAMZITO
Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
Huku hakukuhusu umefuata nn mkia wewe,nenda kwenu kwa mikia wenzio.Huku kwa wanaume hakukufahiUkisikia watu wanaforce mambo ndio hvyo. Flowers are always RED in colour
Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
Hakika. Tukiendelea na ile Morali yetu kesho ushindi upo.Kesho tunamaliza mwaka kibabe
"DaimaMbeleNyumaMwiko"all the best my team
Father x mass ndo nani? Anaishi wapi?Vp kuhusu father x mass juu ya rang
Umepata kijora cha mwananchi sweetie??"DaimaMbeleNyumaMwiko"
Ahahaha naomba nikulipie Siti ya V. I. P. tukammalize matani maana alitokea kwenye tundu ya sindanoMkuu mie ni wa mwanzo kabisa vilipotoka tu nikajitwalia.
Hapa nina mpango wa kwenda nacho Uwanjani kwenye derby ijayo. [emoji23][emoji23][emoji23]
Cc. aminas. [emoji85]
Duuh!! Ahsante sana Mkuu.Ahahaha naomba nikuliptie Siti ya V. I. P. tukammalize matani maana alitokea kwenye tundu ya sindano
ahahaha Safari hii naomba nimsaidie Kama hatojaliDuuh!! Ahsante sana Mkuu.
Hili miaka nenda rudi ni jukumu la huyu mzee mwenzangu Sesten Zakazaka. Yaani ikikaribiaga Derby tu basi tiketi ya VIP kwangu inamuhusu. [emoji41]
Lolahahaha Safari hii naomba nimsaidie Kama hatojali
TEAM 666 polepole shehe wangu, huyo hauzwi kwenye dirisha dogo wala kubwa wala hatolewi kwa mkopo😀😀😀ahahaha Safari hii naomba nimsaidie Kama hatojali
Tiketi ipo tayari, relax kabisaaa🤪Duuh!! Ahsante sana Mkuu.
Hili miaka nenda rudi ni jukumu la huyu mzee mwenzangu Sesten Zakazaka. Yaani ikikaribiaga Derby tu basi tiketi ya VIP kwangu inamuhusu. 😎