Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Yaani hadi natamani umeme ukatike hapa kwangu. Lol.

Mana ni aibu kwani wajomba zako ni Simba wanashangiliaje. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mm huwa sina sifa ya kuangalia mpira huu, we ngoja kidg tu mana hata geto sijapika, yani nina sababu kubwa sana za kuondoka hapa kibanda umizaπŸ˜†πŸ˜†
 
Mm huwa sina sifa ya kuangalia mpira huu, we ngoja kidg tu mana hata geto sijapika, yani nina sababu kubwa sana za kuondoka hapa kibanda umizaπŸ˜†πŸ˜†
Tumeshakomboa ujue. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Farid Kama angekuwa international player alafu anacheza hvyo ungesikia wachambuzi uchwarwa wanasema tumepigwa

He is average
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…