Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Ni bora tukawatangulia kwani si ajabu wakitangulia wao ndo ikawa basi tena kwetu.
Sure, yan saiz atakayefunga goli la tatu huyo ndo mwenye uwezekano mkubwa wa kuongeza magoli zaidi kuliko atakayekuwa anatafta kusawazisha🤔
 
Shadeeya hii uliona [emoji23][emoji23]
Hakuna kitu nakipenda kwenye hizi timu mbili kama zile tambo zao, aisee ile kitu ni burudani tosha ata zaidi ya mpira wenyewe. Huwa nacheka sana nikikutana na tambo zao unakuta shabiki wa simba anasema hivi na shabiki wa Yanga anasema hivi basi ni burudani tu. Yaani utakuta ni penalti kweli lakini shabiki wa Yanga atakataa [emoji23][emoji23][emoji23] nyie acheni zile tambo zao ndio huwa nafuatilia sana hasa baada ya mechi napenda kusikia mashabiki wanasema nn. Unakuta shabiki anasema kocha hamna kitu kabisa kwann kampanga fulani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sure, yan saiz atakayefunga goli la tatu huyo ndo mwenye uwezekano mkubwa wa kuongeza magoli zaidi kuliko atakayekuwa anatafta kusawazisha🤔
Naona Sarpong anachezea nafasi tu ambazo si ajabu mwishowe akazijutia.
 
Hakuna kitu nakipenda kwenye hizi timu mbili kama zile tambo zao, aisee ile kitu ni burudani tosha ata zaidi ya mpira wenyewe. Huwa nacheka sana nikikutana na tambo zao unakuta shabiki wa simba anasema hivi na shabiki wa Yanga anasema hivi basi ni burudani tu. Yaani utakuta ni penalti kweli lakini shabiki wa Yanga atakataa [emoji23][emoji23][emoji23] nyie acheni zile tambo zao ndio huwa nafuatilia sana hasa baada ya mechi napenda kusikia mashabiki wanasema nn. Unakuta shabiki anasema kocha hamna kitu kabisa kwann kampanga fulani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaa. Hizi ndo zetu mashabiki Mkuu yaani unakuta tunajua kupanga kikosi kuliko kawaida.

Na hasa pale kikosi kinapofanya vibaya.
 
Back
Top Bottom