Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tayariSure, yan saiz atakayefunga goli la tatu huyo ndo mwenye uwezekano mkubwa wa kuongeza magoli zaidi kuliko atakayekuwa anatafta kusawazisha[emoji848]
Poor selection imem.cost leoKweli kabisa. Na kutokuwepo kwake pengo kumeonekana Mkuu kwani Kagera Sugar wanapita wanavyotaka.
Eee yubhaaaaaa😆 mkuu naenda kupika mtakuwa mnanipa updates 🤣🤣Dkk ya 45
Yanga 2 Kagera Sugar 3
Aiseee.Yanga 2 kagera 3😪😪😪
Sijui tumekula nini leo jaman, goli tatu🤣🤣🤣🤣Aiseee.
Na mpaka akikumbuka kufanya Sub atakuta tushachelewa. 🙁Poor selection imem.cost leo
Sijui tumekula nini leo jaman, goli tatu🤣
Kashachelewa mpaka hapo, kagera Cha pili wanarudi nyuma wote na kutumia counter kutuuaNa mpaka akikumbuka kufanya Sub atakuta tushachelewa. [emoji853]
Nenda tu Mkuu mana hamna la maana mpaka sasa.Eee yubhaaaaaa😆 mkuu naenda kupika mtakuwa mnanipa updates 🤣🤣
Kagera waongeze goli la nne fasta watulie.waanze kukata ememe.Yanga 2 kagera 3[emoji25][emoji25][emoji25]
Na si ajabu zikaishia hapo hapo.Sijui tumekula nini leo jaman, goli tatu🤣🤣🤣🤣