Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Ntani, jikazeni , hii mechi imeshika hatima yenu ya ubingwa ujue
Tumejikaza sana Ntani ila naona nyavu hazijaamua kucheka na sisi.

Nasubiria 90 Mins na ndo zitaongea japo naona muda unavyozidi kusonga bila sisi kupata walau bao hii mapema basi si ajabu na mechi hii tukatoka suluhu.
 
Hii shangilia ya Kocha imeniacha hoi. Lol.

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…