Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
😅😅😅😅Tutakujib kesho tukitulia😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅😅Tutakujib kesho tukitulia😅😅
.mzito sanaaa ila kumiliki mpira anaweza but kwenye kufunga jmn😆😆Kuna baadhi ya game huyo Sarpong anaonyesha ana kitu ila ndo hivyo sijuagi ugumu unakuwaga wapi.
Acheze no ngp😁Surpong ana bidii sana, kocha ambadilishe namba
Pole mkuu, but assnte kwa kutuwakilisha wengine😆Tumeshinda ila natoka uwanjani nikiwa nimeloa jasho kabisa na kauchovu ,washambuliaji wanatupa wakati mgumu sana kwenye haya mapambano ya title
Acha kabisa kukaa dk 70 pale taifa hamjafunga pagumu sana bora mnaokaa kwenye tivi........Pole mkuu, but assnte kwa kutuwakilisha wengine😆
Mkuu twende tukaomboleze Kule Liverpool tumepigwa tena nyumbani! Hapo ndipo hata hizi timu zetu tuziheshimu tu, kama Salah, Mane na Firminho hawawezi kufunga tena kwa nini tuwalaumu akina Nchimbi?Kuna Uto tokea jana siwaoni wakikatisha kwenye hii Mitaa
Wacha wazoeane bwana! Tatizo la mashabiki wa Yanga hatuna uvumilivu! Hata viongozi nao hawako vizuri! Kauli ya juzi ya Mwakalebela siyo ya kiuana michezo kabisa!Sarpongo, fiston, wasubr lig iishe wasepe tu
Ningekuwa mm ndo kocha. Alafu timu yangu iwe na mkwanja. Bc wangeniwia radhi. Sarpong hatujaanza nae saiz, kacheza mechi nyingi sanaa tofaut na fistoni. Mchezaji mzur utamjua tu kwa msimu mmoja, huwez kusubiria hadi misimu mitatu ukitegemea mazuri. Kiukweli kufunga hayupo, labda kuzifanya beki zimwogobe tu mana ana uwezo wa kumilik sana mpira pind akiwa nao. But kwenye kufunga hayupo.Wacha wazoeane bwana!
Mkuu tuachie Yanga yetu
Sisi tumebiwa tatizo ni referees, na bodi ya ligi. Waheshimu viongozi wakoSarpongo, fiston, wasubr lig iishe wasepe tu
Wageni gani tena jamaniiii😆😆😆Tusisahau kuwasindikiza wageni wetu[emoji19][emoji19]
kuwasindikiza wageni ndo uwa tunasahau tena jamani.Wageni gani tena jamaniiii[emoji38][emoji38][emoji38]
kuwasindikiza wageni ndo uwa tunasahau tena jamani.