Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

BOSS MANJI popote ulipo rudi mara moja, tumeteseka sana
 
Yaani nafasi yetu wanapata wajingawajinga kama namungo
Boss rudi boss, tudi umwage mahela tuwakomeshe hawa manyaunyau
 
Uto bana wachezaji wenu uwezo wao sio mkubwa lakini viongozi wenu wanawaamisha kuwa ni wazuri ,lakini uwanjani unona uhalisia ni kama Simba ilivokuwa mbovu 2015/2016 kwahiyo viongozi wenu hawa wakishaona ubingwa hauwezekani wanaleta hoja ya kuonewa na marefa Mara tff ya Simba ,goli gani yanga walifunga halali ikakatawliwa .jengeni timu ndugu tuwe na ligi bora
 
Rasmi leo Klabu ya Wananchi imemtambulisha Razak Siwa kuwa kocha mpya wa magolikipa wa klabu yetu.

Karibu sana Razak Siwa kwa mara nyingine kwenye TimuYaWananchi.

#DaimaMbeleNyumaMwiko

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…