Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Zidi kujidnganya Mtani. Nadhani next month ndo utakuwa hakimu mzuri.Sawa mtani na huu mwaka niwetu
Hajajibu ila nitakuwa nimesonywa sana huko!Hivi kakujibu hapa?
Ninachomaanisha ukiona Simba anaifunga Yanga hizo goli basi ujue kuna hujuma. Ila kiuwezo tu hamna uwezo Wa kufunga goli nyingi dhidi ya YangaHujajibu swali langu
Wewe umewah kuona Yanga akipata huo ushind dhidi ya simba , yani 3-0 au 3-1
Ni lini umeona ??
Mimi nimeona zote kuanzia 1-0 hadi 5-0 simba ikiiboa Yanga
Hii ni serious sister?Mwanachama na Mwenyekiti wetu wa zamani wa Klabu ya Yanga Yusuph Manji akiwa na Fransic Kifukwe tayari wameshaingia ndani ya ukumbi wa DYCCC
View attachment 1831864
Kweli Bro.Hii ni serious sister?
Ndan ya misimu minne, mmeifunga simba mara moja tu kwenye ligi, misimu yote simba anakufunga, kila siku nyinyi n hujuma tu ?Ninachomaanisha ukiona Simba anaifunga Yanga hizo goli basi ujue kuna hujuma. Ila kiuwezo tu hamna uwezo Wa kufunga goli nyingi dhidi ya Yanga
UsijaliNiwakilishe ndugu yangu mie nafuatilia kwa ukaribu kwenye page zetu za kijamii kwa yote yanayoendelea.
Kwani ni mbali sasa?Zidi kujidnganya Mtani. Nadhani next month ndo utakuwa hakimu mzuri.
Pole sana mdogo wangu.Azam wamenikera jana
Hata sio mbali Mtani. 😀Kwani ni mbali sasa?