Hii kitu hatari, nimeishuhudia ikitolewa bandarini. Kwani wale wa TATA wanasemaje?Hii chuma mnaionaje? Hapa kabla haijapimpiwa iko hivi je itapokuwa tayari imepakwa pakwa mapoda poda ya kijani na njano itakuwaje? Garage ya Azam wameahidi kufanya mauaji kwenye kuipiga mapodapoda! Hapa Kuna gari inaitwa Tata nzambe nangai nahisi itafichwa! Kwa kifupi sahizi Yanga mambo yao ni kama timu ya ulaya vile, Hasa uingereza![emoji1]. Asante Ghalib!View attachment 1848830
Tata wanashare spare na cherehaniHii kitu hatari, nimeishuhudia ikitolewa bandarini. Kwani wale wa TATA wanasemaje?
Hiyo ndo inaitwa kutangulia sio kuwahi kufika na harakaharaka haina baraka. Kudadadeeeek huu mchepu wa Mo unawaingiza mkenge kwelikweli hawa manunu fc.Kimeumana huko kumbe Barbara aliisaini mkataba wa TV rights na Azam wa milioni 385 Kwa mwaka wakati wa Yanga bilioni 3+ kwa mwaka..kye kye kye kyeeee[emoji1787][emoji1787]
Walisema after one week watatangaza na wao mkataba wao hivi kama ndo huu mkataba wenyewe watatangaza kweli kama Yanga walivyofanya?..
View attachment 1856423
Ukishamaliza hapa Mtani inabidi pia uwakumbushe walipoanza la kwanza hadi wamemaliza la saba Simba alichukua Ubingwa mara ngapi?Kuna mtoto tangu aanze form 1 mpaka mwaka huu ana maliza form 4 hajawahi kuona Yanga ikichukua ubingwa wa ligi.
Jumapili ntakuletea lako kama hili.Shadeeya Hongera kwa Ubingwa wa Vpl. View attachment 1860314
Kumbe ndio maana nimeona kwenye nyuzi huko mikia wanamtusi kitenge. 🤣🤣🤣🤣Kimeumana huko kumbe Barbara aliisaini mkataba wa TV rights na Azam wa milioni 385 Kwa mwaka wakati wa Yanga bilioni 3+ kwa mwaka..kye kye kye kyeeee[emoji1787][emoji1787]
Walisema after one week watatangaza na wao mkataba wao hivi kama ndo huu mkataba wenyewe watatangaza kweli kama Yanga walivyofanya?..
View attachment 1856423
Utakacho kipata jumapili hauta amini.Jumapili ntakuletea lako kama hili.
Utakacho kipata jumapili hauta amini.
kwani kuna khabari gani 🙂