barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Umetoa wapi hizo kumbukumbu za Mnyama kupigwa tano taifa??na kuweka kumbukumbu sawa huo huo mwaka wa 2011-2012 ndo PAKASHUMI FC aka MBUMBUMBU FC aka MIKIA SC ndo mlibakwa na kufanyiwa udharirishaji wa kijinsia pale UWANJA WA TAIFA GUEST HOUSE na lile li timu la angola linajiita LIBOLO, kutokea wakati huo mna aleji na mashindano ya kimataifa
imebaki story tu....watabaki wanaisoma watoto wenu miaka ya baadaeSimba aka mnyama aka vijana wa Nyalusi aka wazee wa mpira wa kapeti aka wazee wa draft aka wazee wa tano bila WATAENDELEA KUWASUMBUAna kuchezea akili zenu.
SIMBARCELONA.
Nipe matokeo mkuu, niko mbalitumepigwa la mapema
sasa ni moja moja. Yondani kakosa penatiNipe matokeo mkuu, niko mbali
Asante kiongozisasa ni moja moja. Yondani kakosa penati
Nani kabebwa? mpira umeisha, Yanga 2 kagera 1. kiporo cha azam kimechachayanga hivi kwa nini ni lazima mbebwe?
3-1Nani kabebwa? mpira umeisha, Yanga 2 kagera 1. kiporo cha azam kimechacha
Ngoma, Tambwe na Haji Mwinyi ndiyo wafungaji WA magoli ya leo. Mwanzoni walianza taratibu na Bila umakini wowote wakatundikwa goli la mapemafull time, yanga 3-1 kagera sugar
Fanya editing mkuu,unalifuta goli la Tambwe nini!mtu kapigwa 3-1.Nani kabebwa? mpira umeisha, Yanga 2 kagera 1. kiporo cha azam kimechacha