Alhamdulilah pia.Mie Alhamdulillah sijambo. Mambo niaje?
Naona jana ukapata furaha si ya nchi hii. π
Hadi kwenye jezi wapo, kweli mna watu!Dooh!!
#Sisitunawatu
Kapumbu anawasalimuMie Alhamdulillah sijambo. Mambo niaje?
Naona jana ukapata furaha si ya nchi hii. [emoji41]
Uelewano mbn ulikuwepo kwa kiasi fulani, tumefungwa kimchezo, hasa baada ya kutoa wachezaji wengi ambao nahisi ndio first eleven yetu, kama tungeshinda ile mechi basi tungeogopwa mno na wapinzani, wangekuwa na stress sn cz tumecheza vizuri mnoo.Tunapaswa kucheza mechi nyingi za Kirafiki tena ngumu ngumu,tutaimarika sana,manake kilichotusumbua si wachezaji wabovu bali hakukuwa na uelewano mzuri kama timu
Dhahabu tupu kwenye miguu ya huyu mtoto.Fundi Wa mpira Wa miguu nchini kwetu
Yassin sidhani kama amepona ila uwezo wake tunaujua ni mkubwa.Jana sijui ni kwa nini mwalimu hakumpanga hata David Bryson kule kushoto badala yake akampanga Kibwana ambae si natural left back japo alikiwasha sana pia. Tulihitaji tuone moja ya mabeki wetu Wa huko sana sana Bryson na Yassin
Bilashaka wewe ni makolokolo unatafuta umbeya kwenye Jambo ambalo halikuhusuHivi mgao wa mapato ya jezi baina ya yanga na gsm yakoje?
yeyote anaefahamu hili anisaidie tafadhali
haha, mimi ni mwananchi niliulizwa hilo swali nikakosa majibuBilashaka wewe ni makolokolo unatafuta umbeya kwenye Jambo ambalo halikuhusu
kabisa, angemuanzisha bryson hata kidogoJana sijui ni kwa nini mwalimu hakumpanga hata David Bryson kule kushoto badala yake akampanga Kibwana ambae si natural left back japo alikiwasha sana pia. Tulihitaji tuone moja ya mabeki wetu Wa huko sana sana Bryson na Yassin
Nadhani ulikuwa wakati wake kujipatia umaarufu kupitia Yanga.Alhamdulilah pia.
Bwana weeh.... Yule Kapumbu hakufanyiwa briefing kua ile ni siku yenu
Exactly.Hadi kwenye jezi wapo, kweli mna watu!
Hahahaaa. Ila Tz bana yaani amekuwa maarufu ghafla.Kapumbu anawasalimu
Kagooge.Hivi mgao wa mapato ya jezi baina ya yanga na gsm yakoje?
yeyote anaefahamu hili anisaidie tafadhali
Na Katirendi namba 1Nadhani ulikuwa wakati wake kujipatia umaarufu kupitia Yanga.
Wacha atirendi kwanza.
Kuna video nimeona Insta hadi watu wanataka selfie naye.Na Katirendi namba 1
πππ Bongo sihamiKuna video nimeona Insta hadi watu wanataka selfie naye.
Na anajua kabisa kuwa kuna watu katukera.
Uwe na amani.pamoja sanahaha, mimi ni mwananchi niliulizwa hilo swali nikakosa majibu
ikabidi niulize huku kwa wadau