Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Kwanza kabisa nichukue nafasi hii kukupa pole maana umeandika kwa uchungu mkubwa sana.
mimi hapa tatizo naliona kwa uongozi wa yanga sio kwa wachezaji wala kocha. nadhani wanaohusika na usajili wa wachezaji yanga si watu wa mpira. kivipi? Tatizo la Yanga kwa misimu mitatu iliyopita si Ushambuliaji tatizo la yanga ni wachezaji ambao ni playmakers kama kina chama na kina bwalya au iddy nado lakini ajabu miaka yote hii yanga wanasajiliwashambuliaji msimu ukiisha wanafukuza wote wanasajili wapya lakini wakisajili wanasahau kusajili wachezaji ambao watawachezesha hao washambuliaji feisal ni mzuri lakini anahitaji msaidizi mwenye energy ya kutosha hasa.
una dicson job ambae ana uwezo mkubwa wa kucheza kiungo mzuiaji unae mauya nafasi hiyo hiyo unae mkoko bado unamuongeza aucho wakati eneo hilo sio tatizo lako la msingi katika timu.
je kocha hakutoa ripoti? au yanasajiliwa majina tu.
yule yesu moloko afadhali angeanza ambundo mara kumi aliyewaambia yule ni zaidi ya kisinda aliwapiga mchana kweupe

najua mtanitukana lakini pamoja na kuwa mimi ni simba lakini nimeangalia madhaifu ya timu yenu. kitaalamu
 
Yanga wamemchanganya mama mpaka katimua timua baraza la mawaziri,kutoa wa Yanga kaweka wa Simba.
 
Jamaa kachana chana jezi yenye vibwengo.
Your browser is not able to display this video.
 
Tena Kocha kwenye sub ndo alichemsha mbaya.

Yaani ni kama alivyofanya Yanga day tu. πŸ™πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…