Pool Table
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 1,680
- 2,889
Wanavalishwa sare maana wakisema kila mtu avae anavoweza ndyo yatatokea yale ya mkoti wa faisalMdhamini anapiga hela na mpaka anadhamini ligi huku vijana wanashindwa kupendeza kisa malipo kiduchu. Utopolo amkeni
Mchezaji wa yanga anapanda boda boda , wa Mbeya kwanza apande nini? Utopolo mnazingua.Wakapandishwa na boda boda kwa 2000View attachment 2078078
Wachezaji kupanda boda boda ni uthibitisho wa klabu kuwa na njaa.Hayo malipo yao kiduchu we uliyaona wapi ulete na sisi wengine tuone ni kiasi gani?
Dah.. Utopolo.!! Imekuwa hivi tena? Hii haijakaa Sawa.Wakapandishwa na boda boda kwa 2000View attachment 2078078
Mkuu mbona kila mchango wako unalalamika viongozi?? Upande wa mchezaji hauna makosa kwako wewe??Hizi tetesi za Mukoko kuondoka Yanga kama nikweli,viongozi wetu watakuwa wanatuhujumu wenyewe,haiwezekani best player wetu wanakuwa wanaondoka katika Hali ya mapambano,why? Tutahangaika sana ila kama nikweli mchawi ni viongozi wetu
Hatuwezi kufanikiwa Kwa kutengeneza timu kila msimu,silalamiki natoa hoja zangu....pinga Kwa hoja nawewe.......wewe Kuna mchezaji Yanga umewahi kutoa hata buku?Mkuu mbona kila mchango wako unalalamika viongozi?? Upande wa mchezaji hauna makosa kwako wewe??
Acha hizi mambo watu wanajielewa au ULIMSAJILI WEWE.
Yes nimewahi kuchangia miaka hiyo.Hatuwezi kufanikiwa Kwa kutengeneza timu kila msimu,silalamiki natoa hoja zangu....pinga Kwa hoja nawewe.......wewe Kuna mchezaji Yanga umewahi kutoa hata buku?
Yes nimewahi kuchangia miaka hiyo.
Unatoa malalamiko kipuuzi na kila uchao.
Alionekana kwenye mechi ya Uto vs KMKM,mechi ilipomalizika akasajiliwa Uto[emoji16]Huyu wa wapi naye jamani sijawahi kumsikia hata. [emoji848] Hebu mwenye wasifu wake aulete.
View attachment 2081302
Na haya ndo yatakuja kuzaa yale ya msimu uliopita. Yaani tumeanza vizuri ila usishangae lengo ni kuwasafishia wengine safari ya ubingwa.Hizi tetesi za Mukoko kuondoka Yanga kama nikweli,viongozi wetu watakuwa wanatuhujumu wenyewe,haiwezekani best player wetu wanakuwa wanaondoka katika Hali ya mapambano,why? Tutahangaika sana ila kama nikweli mchawi ni viongozi wetu
Kaeni kwa kutuliaNa haya ndo yatakuja kuzaa yale ya msimu uliopita. Yaani tumeanza vizuri ila lengo ni kuwasafishia wengine safari ya ubingwa.
Huyu ni beki hasa kwa maana ya halisi ya neno hilo. Mimi sina ushabiki huo wa sijui Makolo sijui Utopolo. Ila Ibrahim "Bacca" ni beki aliyekamilika. Umri wake na aina ya uchezaji wake itakuwa back up nzuri ya Mwamnyeto.Huyu wa wapi naye jamani sijawahi kumsikia hata. [emoji848] Hebu mwenye wasifu wake aulete.
View attachment 2081302
Chama asifanye mvuruge amani humu,japo tabu imeanza upyaaaaaaaaa......Hatuwezi kufanikiwa Kwa kutengeneza timu kila msimu,silalamiki natoa hoja zangu....pinga Kwa hoja nawewe.......wewe Kuna mchezaji Yanga umewahi kutoa hata buku?